King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
----------------------------Hii ni drama ya zito na polisi hili kuonyesha kwamba vyama vingine navyo vinazuiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
----------------------------Hii ni drama ya zito na polisi hili kuonyesha kwamba vyama vingine navyo vinazuiwa
Tozi anatumika sana.Wanatafuta justification ya kuzuia mikutano ya CHADEMA.
Ya Lucas ama?Sababu za kiusalama zinazotokana na taarifa za kiintelijensia kuonyesha siyo salama sana kwa shughuli za kiusalama Kyela Mjini.
Huyo SSP Lwitiko si ndio alikuwa mkuu WA kituo pale sitakishari kipindi Fulani, mshenzi saana huyo alimuweka ndani jamaaa yangu bila sababuMkutano huu ulikuwa uhutubiwe na Zitto Kabwe, kesho Septemba 21, 2024 pia wamezuia mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa Chama Tanzania Bara, Isihaka Mchinjita aliyekuwa afanye ziara na mkutano wa hadhara katika Jimbo la Kinondoni.
Viongozi wa ACT Wazalendo walianza ziara ya kuzunguka mikoa tofauti nchini kuanzia Septemba 11, 2024, ziara ilitarajiwa kumalizika Oktoba 4, 2024.
Huo ni mkakati wa CCMNilidhania hvyo pia. Zitto kuzuiiwa kufanya mikutano? Inafikilisha sana, kwa nature yake ya undumilla kuwili na unafiki wa kisiasa. Ni dramma kweli
Hakuna watu wa hovyo kama polisi ongopa snHuyo SSP Lwitiko si ndio alikuwa mkuu WA kituo pale sitakishari kipindi Fulani, mshenzi saana huyo alimuweka ndani jamaaa yangu bila sababu