Uchaguzi 2020 Polisi, Mgambo, Zimamoto, Uhamiaji kusimamia uchaguzi

Uchaguzi 2020 Polisi, Mgambo, Zimamoto, Uhamiaji kusimamia uchaguzi

Hivi kwanini hasemi uchaguzi utakuwa wa haki, anarudia rudia tu kusema watahakikisha uchaguzi unakuwa wa amani! Kwanini asiseme watahakikisha uchaguzi unakuwa wa haki na amani

1. Hivi mtu akikaa mita 100 kusubiri majibu kuna ubaya gani? Kwanini unakataza watu kulinda kura zao walizopiga kila kituo kama una hakika hakuna michezo yoyote itakayochezwa. Si uwaache tu wajikalie matokeo yakitangazwa wanaenda makwao

2. Hao magereza mnaowaleta kulinda uchaguzi kule watokako wafungwa wamewaacha na nani?
Wanyonyaji hawawezi tamka hilo neno hata uwaue. Yani kwao huo msamiati haupo kabisa.
 
Wapinzani Waambieni wale mliowaleta toka nje kuja kufanya vurugu waanze kufungasha virago haraka kurudi kwao. Uhamiaji wanawajua wote na wanapolala na kuamka waondoke kabla ya siiku ya uchaguzi kitakachowakuta shauri yao.
Hayo majitu yako ya uhamiaji yanahamishwa hamishwa kama jina lao yana madeni ya uhamisho na serikali mpaka utosini uje useme yaitete ccm! Sina uhakika. Nyie pambaneni na hali zenu this time kura inalindwa nipo hapa uhasibu nikisimama naliona jengo lao hapo kurasini.Ila yanapenda rushwa.
 
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro amesema majeshi yote yameungana na tayari yamesambazwa kwenye mikoa mbali mbali
ikiwemo Arusha ili kusimamia uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ijayo Oktoba 28.

Sirro ametaja majeshi hayo kuwa ni Polisi wenyewe, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto na Mgambo ambao tayari wapo Mkoani Arusha kwa
ajili ya zoezi la kuhakikisha utulivu unakuwepo siku ya kupiga kura.

Akizungumza akiwa mkoani Arusha, Sirro amesema anatambua kuwa kuna vikund ambavyo vimepangwa kwa ajili ya kufanya vurugu siku ya uchaguzi na kuvuruga amani, hata hivyo watavikamata kabla ya siku usiku.

"Kuna vikundi vinataka kuharibu amani katika uchaguzi jijini Arusha vitakamatwa kabla ya siku ya uchaguzi ili kuondoa malengo yao ya kuharibu amani, "amesisitiza na kuongeza" Arusha imekuwa na historia ya vurugu tumeleta polisi wa kutosha kudhibiti wachache wanaotaka kufanya vurugu," amesema.

IGP amesema askari wanatakiwa kuhakikisha uchaguzi wa mwaka huu unakuwa wa amani na kudhibiti changamoto zozote ambazo zitajitokeza za kiusalama. Hata hivyo aliwataka wananchi watoe ushirikiano wanapohisi uvunjifu wa amani ili hatua haraka zichukuliwe.

Chanzo: Habari leo
Danny Faure aliyeshindwa alizaliwa Uganda na kuhamia Seychelles akiwa mdogo . Licha ya yeye kuiletea Seychelles maendeleo lakini Wananch wameona apumzike na wamemshukuru
 
Wapinzani Waambieni wale mliowaleta toka nje kuja kufanya vurugu waanze kufungasha virago haraka kurudi kwao. Uhamiaji wanawajua wote na wanapolala na kuamka waondoke kabla ya siiku ya uchaguzi kitakachowakuta shauri yao.
Kama wameshindwa kuwakamata wakati wanaingia, watawezaje kuwakamata wakati tayari wameshajichanganya? Kwa maelezo yako na ya IGP mnatuaminisha kuwa majeshi yetu hayawezi kuzuia wahamiaji haramu hadi wanaingia ndani ya nchi. Ni wakati sasa wa IGP na kamishna wa uhamiaji kuachia nafasi zao
 
Maneno ya kipuuzi na ya hovyo kabisa kutoka kwa IGP, hii ni aibu kwa jeshi la polisi, kama wanajua kuna hivyo vikundi kwanini wasiwakamate hao wahalifu mapema halafu mambo ya uchaguzi waachiwe raia? Au taasisi za kiraia? unajaza hao watu kwani ni uchaguzi wa jeshini huo?!

Hii ni mbinu ya kuwatisha wapiga kura wasijitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura ili Gambo mwenye hali mbaya ashinde, Sirro amefeli na wale wanaomtumia pia wamefeli, machalii wa chuga hawana mambo ya kisoro kuogopa mandata kiboya, jumatano kura zitapigwa, na Lema atashinda.
sio ykae kuwa kii bodi woria.kama unataka kuharibu aman uwe wewe wa kwanza.na familia yako.
uache kutukana jitokeze kaama unabisha
 
Kama wameshindwa kuwakamata wakati wanaingia, watawezaje kuwakamata wakati tayari wameshajichanganya? Kwa maelezo yako na ya IGP mnatuaminisha kuwa majeshi yetu hayawezi kuzuia wahamiaji haramu hadi wanaingia ndani ya nchi. Ni wakati sasa wa IGP na kamishna wa uhamiaji kuachia nafasi zao
Kuingia nchini bure kutoka gharama muwaambie kuna wenzao wengine kule kigoma kimeshawakuta nchi zina ushirikiano sasa hivi wa uchaguzi wa kufa mtu ndio maana uliona ziara za kiongozi wa burundi,wa Rwanda,raisi akakutana n raisi wa zambia ,malawi na kenyatta nk

Ukiingia taarifa zinakuja toka nchi hizo kuwa kuna hao wanakuja unawekwa kwenye rada kama raia mwema OK kama mbaya thubutu uone.Waambieni wenzenu wanaodhani kuna safari za kuelekea shimoni mombasa safari hii hazitakuwepo watawekwa kati na askari wa pande zote .Na wale wanaodhani wakiliwasha kuna nchi jirani yoyote watakimbilia imekula kwao nchi zote kuanzia muda ziko sealed kijeshi

Kura zitapigwa kwa amani na utulivu na hakuna kiumbe ataleta fyoko awe mgombea au mpiga kura au kibaka wa mtaani
 
Kazi ya polisi ni kulinda Amani, Haki hutolewa mahakamani sio polisi
umemaliza vyombo vya ulinzi na usalama kazi yao kusimamia amani tu ndio maana kuna mahakama za kusimamia haki
 
Hivi kwanini hasemi uchaguzi utakuwa wa haki, anarudia rudia tu kusema watahakikisha uchaguzi unakuwa wa amani! Kwanini asiseme watahakikisha uchaguzi unakuwa wa haki na amani

1. Hivi mtu akikaa mita 100 kusubiri majibu kuna ubaya gani? Kwanini unakataza watu kulinda kura zao walizopiga kila kituo kama una hakika hakuna michezo yoyote itakayochezwa. Si uwaache tu wajikalie matokeo yakitangazwa wanaenda makwao

2. Hao magereza mnaowaleta kulinda uchaguzi kule watokako wafungwa wamewaacha na nani?
Maana yake ni kuwa wako tayari kunyonga haki ili wapate amani ya kuturawala ki mabavu.
 
Hao Polisi wa kutosha ni wangapi kulinganisha na raia?
askari mmoja tu komandoo wa JWTZ akitua katikati ya umati aweza pambana na watu elfu moja bila shida yeyote huo umati ni wa watu wangapi hadi ushindikane na ujue ana silaha za moto wakati wewe huna

bomu moja tu laweza kimbiza raia 500 ndani ya sekunde

Tii sheria bila shuruti kwenye kuvunja amani usisogee

vipi lakini bado uko maeneo yale ya mabibo au ulishahama maeneo yale ulikuwa unakaa?
 
Back
Top Bottom