Polisi Morogoro vs Yanga live updates

Polisi Morogoro vs Yanga live updates

Aisee Mikia waoga kama nini, laiti Yanga ingefungwa mngekuwa mmejazana hapa Jukwaani mkirusha madongo yenu. Hili ni dhahiri kwani hata nyuzi za michezo ya bonanza la mapinduzi bado mnaziendeleza hadi leo mfano: nusu fainali Simba v Polisi na Mtibwa v JKU na zaidi sana mechi ya fainali Simba v Mtibwa. Vile vile mliendelea sana katika uzi wa Yanga v Ruvu Shooting. Sasa mko wapi?

CC Masuke, sembo, grafani11 na mikia wote popote mlipo.
Nilikuwa ibadani, unasemaje mtumishi wa Mungu?
 
Back
Top Bottom