Polisi mwanamke kumpekua mwanaume

Polisi mwanamke kumpekua mwanaume

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2011
Posts
712
Reaction score
332
Katika hali isiyokua ya kawaida naambiwa hapa kituoni kuwa Polisi wa Jinsia ya KE anaruhusa ya kumpekua mwalifu mwanaume ila Polisi wa kiume hatakiwi kumpekuamwalifu mwanamke. je ni vigezo gani hasa vilitumika katika kuhalalisha hili?. Tambueni kuwa polisi wengine hawajaolewa na wanaweza kumpekua mhalifu katika hali ya faragha ambayo kwa bahati mbaya au nzuri ukute pia mtuhumiwa ni mkame wa muda mrefu.Sijui itakua aje hapa.WANASHERIA hapa vipi?. je hii ni sahihi au ni changamoto?
 
Wacha akupekue, akigusa mtambo shauri yake, stimu zikipanda mgeuze fasta umle!!!
 
mkuu hivi mwanamke akikupekua unajisikia vibaya au vizuri....what a good customer service!!!
 
Dah! kumbe wakati mwingine raha kwenda jela.
 
Katika hali isiyokua ya kawaida naambiwa hapa kituoni kuwa Polisi wa Jinsia ya KE anaruhusa ya kumpekua mwalifu mwanaume ila Polisi wa kiume hatakiwi kumpekuamwalifu mwanamke. je ni vigezo gani hasa vilitumika katika kuhalalisha hili?. Tambueni kuwa polisi wengine hawajaolewa na wanaweza kumpekua mhalifu katika hali ya faragha ambayo kwa bahati mbaya au nzuri ukute pia mtuhumiwa ni mkame wa muda mrefu.Sijui itakua aje hapa.WANASHERIA hapa vipi?. je hii ni sahihi au ni changamoto?

kwa mjibu wa sheria, ni sahihi. mwanamme akimpekuwa mwananmke, anaweza kushitakiwa kwa kosa la shambulio la aibu lakini mwanamke akimpekua, eti inakubalika.
hivi mwanamke anapopekua, halafu mwanamme awe hajawahi kuguswa na mikono ya kike, halafu akadindisha/uume ukasimama JE SIYO SHAMBULIO LA AIBU kwa mwanamme? Mi naamini hapa waliobadilisha sheria ni hawa wanawake wanaharakati, ili walipize kisasi kwa wanaume.
Na kibaya zaidi, polisi huwa hawana staha, akigundua umedindisha, yeye ataropoka jitu 'JITU LENYEWE LIKIGUSWA, LINADINDISHA"
 
Back
Top Bottom