Hehehe!!
Sammuel999 hakikisha umejiandaa na exit strategy, nakumbuka kipindi nilikua nahusika kwenye maandamano, tulikua tunahakikisha tuna mpenyo wa kutokea. Unabeba maji kwa chupa ya plastiki, halafu mawe kadhaa mfukoni. Ngoma ikianza unajiandaa na pakutokea maana wale wapuzi wa FFU wakikushukia aisei utaimba kilugha, wale hawajafunzwa kukamata na hawabebi pingu, ngoma yao inaishia papo hapo.
Anyway good-luck guys, I support the right to hold demonstrations as enshrined in the constitution, though personally am against the current picketing as there are already other methods taking place to clean up IEBC. But we all have our right to our opinions.