Hehehe, Minishi alipitia mengi.MK254 hehehe hapo siwezi sahau man... High school we went on strike 3 times - Kakamega high school two of which were during the night one time we had run away after police were called in to prevent property damage we went to Kakamega town nakumatt at midnight alafu wanakuja na landrover pick up and told like 70 of us to ensure we fit in hahahaha walitutandikia tao ma 4am mpaka sunday 8 hehehe miss em days.... Uni and high school protests are the best though!!
MK254 hehehe hapo siwezi sahau man... High school we went on strike 3 times - Kakamega high school two of which were during the night one time we had run away after police were called in to prevent property damage we went to Kakamega town nakumatt at midnight alafu wanakuja na landrover pick up and told like 70 of us to ensure we fit in hahahaha walitutandikia tao ma 4am mpaka sunday 8 hehehe miss em days.... Uni and high school protests are the best though!!
Te te te! wee jamaa Barbarosa Kituko yaani PR kwenda mbele. Hivi ile kashfa ya binti wa Magu Jesca mumefaulu kupata pa kutokea? Naona mumekamatwa sana na Watanzania huku Mtoto wa Magufuli sijui alifikaje Chuo Kikuu?Unachanganya mambo, WatanZania siyo waoga bali tunaheshimu Dola au Mamlaka iliyopo, kuna tofauti hapo, nchi nyingine Wananchi hawaheshimu Dola /Mamlaka waliyoiweka wao wenyewe na ndiyo maana hata Serikali iseme nini watu bado wataandamana tu, lkn TanZania Serikali ikikataza maandamano tunaheshimu kwa maana tunatambua kwamba Mamlaka iko kwa ajili yetu wote na huwo siyo woga bali ni heshima tu kwa yule tuliyemkabidhi Mamlaka!
Te te te! wee jamaa Barbarosa Kituko yaani PR kwenda mbele. Hivi ile kashfa ya binti wa Magu Jesca mumefaulu kupata pa kutokea? Naona mumekamatwa sana na Watanzania huku Mtoto wa Magufuli sijui alifikaje Chuo Kikuu?
Itabidi mubuni mikakati hapo Lumumba
Huko hamna upinzani nyie ni waoga kweli.JPM hana time na siasa zao! Lakini wanapoelekea siyo kuzuri! Navyomjua RAO ana uwezo kuitisha mgomo nchi nzima.. busara inahitajika!
Hahahaha. Nimependa jibu lako mkuu,Kwa hiyo ulitakaje kwamba na sisi tuingie barabarani kama Wakenya na kuumizwa au kuuliwa na Askari kwa ajili ya Seif na Sheni?
Usisahau Seif alishasafirisha familia yake kwenda Omani kabla ya uchaguzi, records zipo!
Watanzania wamekomaaa kuuana hakuna tija mambo yote yataenda tu. Tatizo la kenya ni ukabaila tu. Kama si hilo basi mngekuwa new the first country to give grantsHehehe!! Sammuel999 hakikisha umejiandaa na exit strategy, nakumbuka kipindi nilikua nahusika kwenye maandamano, tulikua tunahakikisha tuna mpenyo wa kutokea. Unabeba maji kwa chupa ya plastiki, halafu mawe kadhaa mfukoni. Ngoma ikianza unajiandaa na pakutokea maana wale wapuzi wa FFU wakikushukia aisei utaimba kilugha, wale hawajafunzwa kukamata na hawabebi pingu, ngoma yao inaishia papo hapo.
Anyway good-luck guys, I support the right to hold demonstrations as enshrined in the constitution, though personally am against the current picketing as there are already other methods taking place to clean up IEBC. But we all have our right to our opinions.