Polisi na tabia ya gari ikikamatwa kubadili vifaa na kuweka vya zamani

Polisi na tabia ya gari ikikamatwa kubadili vifaa na kuweka vya zamani

amadala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2017
Posts
4,265
Reaction score
12,268
Hello Wadau!

Kama heading inavyojieleza. Usithubutu ukaruhusu gari ikaenda kituo cha polisi ikalala huko, wanachofanya ni kubadili vifaa na kuweka vya zamani wanaenda mbali zaidi kung'oa vioo na hata kubadili siti.

Mwisho wa siku gari ni kushinda gereji ukibadili vifaa leo hiki kesho hiki. Na bado kutoa uwape hela wakupe gari.
Hiki ninachopitia polisi nimewanyanyulia mikono, maana hampo kutunza mali za raia, mpo mpo tu.
259-2594540_police-reforms-watch-cartoon-hd-png-download.png
 
Hello Wadau!
kama heading inavyojieleza.
usithubutu ukaruhusu gari ikaenda kituo Cha polisi ikalala huko, wanachofanya ni kubadili vifaa na kuweka vya zamani wanaenda mbali zaidi kung'oa vioo na hata kubadili Siti.
Mwisho wa siku gari ni kushinda gereji ukibadili vifaa Leo hiki kesho hiki.
Na Bado kutoa uwape Hela wakupe gari.
Hiki ninachopitia polisi nimewanyanyulia mikono maana hampo kutunza Mali za raia mpo mpo Tu .
And how do you manage that ?!!!

Ukizingatia tunaishi kwenye Ulimwengu / nchi ya Andhaa Kanoon..., ambapo sheria wala haki ni msamiati unategemea mambo yanakuwaje....

Tunahitaji reforms na uelewa wa wananchi kuhusu haki zao na utamaduni wa kutenda haki..., vinginevyo its just putting a lipstick on a pig....
 



Hizi tuhuma mbona zinatia aibu sana?
 
Ni tukio la kusikitisha sana,hivi hiyo tabia ni Polisi wa Nchi nzima? au wengine tunawaonea tu?.
 
Nina Jirani hapa Ni polisi aiseeee......huyu jamaa ni moja ya watu wa ajabu Sana yaani hii kada haikuguswa wakati wa kuondoa vyetee fyekeeee....
 
Nina Jirani hapa Ni polisi aiseeee......huyu jamaa ni moja ya watu wa ajabu Sana yaani hii kada haikuguswa wakati wa kuondoa vyetee fyekeeee....
Wanambingu yao Hawa watu
 
Ni tukio la kusikitisha sana,hivi hiyo tabia ni Polisi wa Nchi nzima? au wengine tunawaonea tu?.
Hapana Wala hawaonewi ni kweli kabisa, basi Tu hata picha ningeweka
 
Hello Wadau!
Kama heading inavyojieleza.
Usithubutu ukaruhusu gari ikaenda kituo Cha polisi ikalala huko, wanachofanya ni kubadili vifaa na kuweka vya zamani wanaenda mbali zaidi kung'oa vioo na hata kubadili Siti.
Mwisho wa siku gari ni kushinda gereji ukibadili vifaa Leo hiki kesho hiki.
Na Bado kutoa uwape Hela wakupe gari.
Hiki ninachopitia polisi nimewanyanyulia mikono maana hampo kutunza Mali za raia mpo mpo Tu .
Mimi gari ililala kituoni siku 3 sikukuta radio wala jeki,tena una bahat wamefanya change vitu vya nje sio kwenye engine
 
Hello Wadau!
Kama heading inavyojieleza.
Usithubutu ukaruhusu gari ikaenda kituo Cha polisi ikalala huko, wanachofanya ni kubadili vifaa na kuweka vya zamani wanaenda mbali zaidi kung'oa vioo na hata kubadili Siti.
Mwisho wa siku gari ni kushinda gereji ukibadili vifaa Leo hiki kesho hiki.
Na Bado kutoa uwape Hela wakupe gari.
Hiki ninachopitia polisi nimewanyanyulia mikono maana hampo kutunza Mali za raia mpo mpo Tu .
Hizi tuhuma ni nzito sana lakini sidhani kama ni wote.. Na sometimes haya mambo yanafanywa na vijana wale wa breakdown maaana ndio wanajua kwa hakika mmiliki wa gari, Lakini pia haya mambo hayapo huko tuu hata gereji nyingi hupwaswi kuliacha gari lako muda mrefu bila kuhudumiwa maana pia linaweza kuwa salama kwenye vipuri lakini likakutana na wazee wa panyaroad panyabuku wakaifilimba vilivyo wiring
 
Sasa jeshi letu la polisi limekuwa jeshi la majambazi na wanyang'anyi.........wanyonge hatuna Tena kwa kukimbilia
 
Back
Top Bottom