And how do you manage that ?!!!Hello Wadau!
kama heading inavyojieleza.
usithubutu ukaruhusu gari ikaenda kituo Cha polisi ikalala huko, wanachofanya ni kubadili vifaa na kuweka vya zamani wanaenda mbali zaidi kung'oa vioo na hata kubadili Siti.
Mwisho wa siku gari ni kushinda gereji ukibadili vifaa Leo hiki kesho hiki.
Na Bado kutoa uwape Hela wakupe gari.
Hiki ninachopitia polisi nimewanyanyulia mikono maana hampo kutunza Mali za raia mpo mpo Tu .
Ni ujumbe gani unataka kufikisha hapa!??Majambazi hao Nina hasira nao balaa alafu maza hausi pongo
Mimi gari ililala kituoni siku 3 sikukuta radio wala jeki,tena una bahat wamefanya change vitu vya nje sio kwenye engineHello Wadau!
Kama heading inavyojieleza.
Usithubutu ukaruhusu gari ikaenda kituo Cha polisi ikalala huko, wanachofanya ni kubadili vifaa na kuweka vya zamani wanaenda mbali zaidi kung'oa vioo na hata kubadili Siti.
Mwisho wa siku gari ni kushinda gereji ukibadili vifaa Leo hiki kesho hiki.
Na Bado kutoa uwape Hela wakupe gari.
Hiki ninachopitia polisi nimewanyanyulia mikono maana hampo kutunza Mali za raia mpo mpo Tu .
Maza hausi=mama mwenye nyumba, pongo=polisi hapo nadhani umenipata vyema mkuuNi ujumbe gani unataka kufikisha hapa!??
pongo ni nini maza house ni nani?
Hizi tuhuma ni nzito sana lakini sidhani kama ni wote.. Na sometimes haya mambo yanafanywa na vijana wale wa breakdown maaana ndio wanajua kwa hakika mmiliki wa gari, Lakini pia haya mambo hayapo huko tuu hata gereji nyingi hupwaswi kuliacha gari lako muda mrefu bila kuhudumiwa maana pia linaweza kuwa salama kwenye vipuri lakini likakutana na wazee wa panyaroad panyabuku wakaifilimba vilivyo wiringHello Wadau!
Kama heading inavyojieleza.
Usithubutu ukaruhusu gari ikaenda kituo Cha polisi ikalala huko, wanachofanya ni kubadili vifaa na kuweka vya zamani wanaenda mbali zaidi kung'oa vioo na hata kubadili Siti.
Mwisho wa siku gari ni kushinda gereji ukibadili vifaa Leo hiki kesho hiki.
Na Bado kutoa uwape Hela wakupe gari.
Hiki ninachopitia polisi nimewanyanyulia mikono maana hampo kutunza Mali za raia mpo mpo Tu .