young lideko
Member
- May 28, 2020
- 42
- 50
Mm cna chama ila naona ccm wameishiwa hoja wanaamua kutumia nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa vipi mkuu?Mimi sina chama ila ,Huyo kijana lissu amepotoka
Polisi na NEC wote wameteuliwa na kuapishwa na mtu mmoja, lao ni moja.Hawa polisi Sasa Ni dhahiri wanaingilia shughuli binafsi za mgombea wa Chadema Lissu.
Lissu Ni mwanasiasa na shughuli kubwa kwake Ni kufanya siasa. Ili uweze kutekelezwa majukumu yako kisiasa Ni lazima utoke point A kwenda B kuhamasisha wanachama wako...