This is just a simple logic, shughuli yeyote ya Kisiasa wakati wa kampeni za uchaguzi na hasa wewe ukiwa mmoja wa wagombea ni kufanya kampeni. Labda tume ikazie hukumu kwa kumwambia Lissu amefungiwa kufanya shughuli zote kasoro faragha ya kwenda maliwato. Mdudu aliye kichwani mwa Lissu anamfanya awemgumu kuelewa.