Polisi ni rafiki kipindi hiki cha awamu ya sita

Polisi ni rafiki kipindi hiki cha awamu ya sita

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Nilichogundua ni kwamba Tanzania ya sasa sio kama ya zamani Tanzania ya Rais Samia Suluhu ni ya amani miaka 5 iliyopita mpinzania alikua nia adui mkubwa wa polisi lakini sasa baada ya maridhiano yaliyofanywa tunaona polisi amerejea kwenye kazi yake ya kulinda amani ya mwananchi.


BEFORE and AFTER
FnJJpmmWAAITSmR (1).jpg

Hata upinzani pia wamekubali mambo yamebadilika sana haya ni maneno ya Joseph Mbilinyi (Sugu)

"Tunalipongeza jeshi polisi kwa namna ambavyo wametupa ushirikiano toka tumeanza mikutano, tunapaswa kuwapongeza kwa hili. Kipindi cha nyuma kulikuwa hamna ushirikiano lakini toka juzi tumeona ushirikiano wenu polisi na hata nyie mnatabasamu"
 
Polisi wa Africa hawana moral will. Hali yao inategemea ya watawala. Robotic
 
Polisi wa Africa hawana moral will. Hali yao inategemea ya watawala. Robotic
Ndio maana mtawala wa awamu ya sita amewacontrol police to be good people and friends of Tanzanian
 
Nilichogundua ni kwamba Tanzania ya sasa sio kama ya zamani Tanzania ya Rais Samia Suluhu ni ya amani miaka 5 iliyopita mpinzania alikua nia adui mkubwa wa polisi lakini sasa baada ya maridhiano yaliyofanywa tunaona polisi amerejea kwenye kazi yake ya kulinda amani ya mwananchi


BEFORE AFTER
View attachment 2492765
Hata upinzani pia wamekubali mambo yamebadilika sana haya ni maneno ya Joseph Mbilinyi (Sugu)

"Tunalipongeza jeshi polisi kwa namna ambavyo wametupa ushirikiano toka tumeanza mikutano, tunapaswa kuwapongeza kwa hili. Kipindi cha nyuma kulikuwa hamna ushirikiano lakini toka juzi tumeona ushirikiano wenu polisi na hata nyie mnatabasamu"
Kwenye yale mazungumzo yaliyovuja kwenye group lao alisikika mmoja akisema nyakati hizi INABIDI WAWE NEUTRAL
 
Labda wamebadilika huko kwenu kuna matukio mawili ya uonevu niliyashudia mwaka jana mwishoni hapo, aisee hawa jamaa hawajahi kuwa na urafiki na wanao walinda na Mali zao, wanasema Tii Sheria bila shuruti lakini wao ndio wa kwanza kuzivunja, naomba niishie hapo
 
Nilichogundua ni kwamba Tanzania ya sasa sio kama ya zamani Tanzania ya Rais Samia Suluhu ni ya amani miaka 5 iliyopita mpinzania alikua nia adui mkubwa wa polisi lakini sasa baada ya maridhiano yaliyofanywa tunaona polisi amerejea kwenye kazi yake ya kulinda amani ya mwananchi


BEFORE AFTER
View attachment 2492765
Hata upinzani pia wamekubali mambo yamebadilika sana haya ni maneno ya Joseph Mbilinyi (Sugu)

"Tunalipongeza jeshi polisi kwa namna ambavyo wametupa ushirikiano toka tumeanza mikutano, tunapaswa kuwapongeza kwa hili. Kipindi cha nyuma kulikuwa hamna ushirikiano lakini toka juzi tumeona ushirikiano wenu polisi na hata nyie mnatabasamu"
AWAMU ya 5 Tulikuwa na JINI[emoji1787][emoji1787]
 
Nilichogundua ni kwamba Tanzania ya sasa sio kama ya zamani Tanzania ya Rais Samia Suluhu ni ya amani miaka 5 iliyopita mpinzania alikua nia adui mkubwa wa polisi lakini sasa baada ya maridhiano yaliyofanywa tunaona polisi amerejea kwenye kazi yake ya kulinda amani ya mwananchi


BEFORE AFTER
View attachment 2492765
Hata upinzani pia wamekubali mambo yamebadilika sana haya ni maneno ya Joseph Mbilinyi (Sugu)

"Tunalipongeza jeshi polisi kwa namna ambavyo wametupa ushirikiano toka tumeanza mikutano, tunapaswa kuwapongeza kwa hili. Kipindi cha nyuma kulikuwa hamna ushirikiano lakini toka juzi tumeona ushirikiano wenu polisi na hata nyie mnatabasamu"
Yule Mhutu alikuwa analipeleka nchi kuzimu kabisa
 
Polisi wanafuata amri ya aliye juu. Kama aliye juu ni dikteta polisi watatii amelekezo yake

Awamu ya tano ilikuwa chini ya dikteta Magufuli.
 
Nilichogundua ni kwamba Tanzania ya sasa sio kama ya zamani Tanzania ya Rais Samia Suluhu ni ya amani miaka 5 iliyopita mpinzania alikua nia adui mkubwa wa polisi lakini sasa baada ya maridhiano yaliyofanywa tunaona polisi amerejea kwenye kazi yake ya kulinda amani

"Tunalipongeza jeshi polisi kwa namna ambavyo wametupa ushirikiano toka tumeanza mikutano, tunapaswa kuwapongeza kwa hili. Kipindi cha nyuma kulikuwa hamna ushirikiano lakini toka juzi tumeona ushirikiano wenu polisi na hata nyie mnatabasamu"
Polisi ni wenzetu
Ombi hili https://www.jamiiforums.com/threads...tember-mosi-please-msigeuke-makaburu.1103337/
ndio limeanza kutekelezwa juzi pale furahisha
P
 
kuna polisi majuzi nimeshangaa wamewakamata watuhumiwa imefika sa 4 anaenda waambia "mnajifanya wajanja hamna hata wake wa kuwaletea chai, aya taja idadi ya chapati kila mmoja "jamaa yakataja na wakaletewa kwa bili ya polisi wa zamu.
 
Back
Top Bottom