4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Wakuu najua mpo poa na mapambano ya kila siku, nami nasema mambano yaendelee maana Mungu yupo pamoja NASI
Moja kwa moja niwatake jeshi ,namanisha police ,kwenye Jambo la HAmza msitumie nguvu bali akili itokanayo na mafunzo yenu basi
Tumeona kwenye mitandao ya kijamii,ndugu na marafiki wanavyomzungumzia Hamza, na moja KWa moja pamoja kwamba kila binadam anamapungufu yake,ila bado lipo dirisha laonyesha, lipo Jambo mmemkwaza HAMZA Nyie police, naongea Kama Mungu anitakavyo
Sasa kuwanyanyasa familia ya HAMZA , EITHER wataka kujisafisa tu hamna jipya hapo,nakuaminisha watu kwamba jeshi la police lipo makini,ACHENI MARA MOJA
MUNGU ANASEMA.
Sioni sababu ya kunyanyasa familia ya HAMZA, labda tu Kama mna lengo lenu la kuonesha jamii kwamba police wanawajibika katika kiwango kikubwa, Yani leo IGP ukifanya tukio basi Familia yako iwekwe kitimoto ,kwani ndo imekutuma?
Moja kwa moja niwatake jeshi ,namanisha police ,kwenye Jambo la HAmza msitumie nguvu bali akili itokanayo na mafunzo yenu basi
Tumeona kwenye mitandao ya kijamii,ndugu na marafiki wanavyomzungumzia Hamza, na moja KWa moja pamoja kwamba kila binadam anamapungufu yake,ila bado lipo dirisha laonyesha, lipo Jambo mmemkwaza HAMZA Nyie police, naongea Kama Mungu anitakavyo
Sasa kuwanyanyasa familia ya HAMZA , EITHER wataka kujisafisa tu hamna jipya hapo,nakuaminisha watu kwamba jeshi la police lipo makini,ACHENI MARA MOJA
MUNGU ANASEMA.
Sioni sababu ya kunyanyasa familia ya HAMZA, labda tu Kama mna lengo lenu la kuonesha jamii kwamba police wanawajibika katika kiwango kikubwa, Yani leo IGP ukifanya tukio basi Familia yako iwekwe kitimoto ,kwani ndo imekutuma?