Polisi Tanzania hawajui "Modern Policing??" Hawakuomba radhi ujio wa Kamala Harris. Hawajaomba radhi ujio wa Marais wa Afrika...

Polisi Tanzania hawajui "Modern Policing??" Hawakuomba radhi ujio wa Kamala Harris. Hawajaomba radhi ujio wa Marais wa Afrika...

Jeshi la hovyo lenye mentality za ulimbukeni wa madaraka
Labda wewe ndiyo wa hovyo kwa kutokujua nani ndiye anayestahiki kuomba radhi kwa changamoto iliyojitokeza.
Haiwezekani umeme ukatwe na TANESCO kisha uende kulaumu aliyekuuzia Main switch ya nyumbani kwako.
 
Labda wewe ndiyo wa hovyo kwa kutokujua nani ndiye anayestahiki kuomba radhi kwa changamoto iliyojitokeza.
Haiwezekani umeme ukatwe na TANESCO kisha uende kulaumu aliyekuuzia Main switch ya nyumbani kwako.
Jifunzeni Upolisi wa kisasa nyie, dunia inawaacha. Shauri yenu..
 
Back
Top Bottom