Pre GE2025 Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ali Kibao

Pre GE2025 Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ali Kibao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu mmoja alijojiwa vipi kuhusu haya mambo ya kupotea na kutekana akasema ndugu hayamambo n siri kubwa sana ushaambiwa haaajulikan mm n nani niwajue ama unataka kunishirikisha kwenye dhambi aisee nilicheka sanaaaaaa

Kurujuanifc atwk
 
Cha msingi itangazwe askari watembee na vitambulisho na asikamatwe mtu bila askar kuonyesha kitambulisho kama hana wananchi wachukue sheria mkononi tu
Kitambulisho si kinafojiwa tu?

Hukufikiria vizuri mkuu 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
TAARIFA KWA UMMA

Jana Septemba 6,2024 zilisambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa jioni maeneo ya Tegeta Jijini Dar es Salaam, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ally Mohamed Kibao, akiwa safarini na basi la Tashrif alichukuliwa na kushushwa toka kwenye basi hilo na watu ambao hawakuweza kujulikana majina yao.

Aidha, leo Septemba 7,2024 tumesikia taarifa kuhusiana na tukio hilo kupitia vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika.

Jeshi la Polisi, lingependa kutoa taarifa kuwa, lilipokea taarifa hiyo na kuanza uchunguzi wa kubaini kilichotokea, chanzo chake na watu waliohusika ni akina nani.

Imetolewa na:

David A. Misime - DCP

Msemaji wa Jeshi la Polisi

Makao Makuu ya Polisi

Dodoma, Tanzania

View attachment 3089524

Pia soma
Nina mashaka makubwa na IGP

Msiomfahamu namna alivyotekeleza majukumu yake kabla hajawa polisi mnaweza kudhani he is clean.

Jamaa ni chinja chinja haswaa. Ni favorable wa TISS enzi za jiwe. Alifanya hayo kwa kuwa high office ilikuwa inampa backup ya kutosha. Ndo maana alipohitilafiana na boss wake ZCO Mambosasa, mama Samia akamuinua na kumdemote Mambosasa.


IGP amebeba damu tele kwenye mikono yake.
 
HAFICHAYE DHAMBI ZAKE HATOFANIKIWA MAANDIKO
ALIEHUSIKA MUNGU ATADILI NAO
 
TAARIFA KWA UMMA

Jana Septemba 6,2024 zilisambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa jioni maeneo ya Tegeta Jijini Dar es Salaam, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ally Mohamed Kibao, akiwa safarini na basi la Tashrif alichukuliwa na kushushwa toka kwenye basi hilo na watu ambao hawakuweza kujulikana majina yao.

Aidha, leo Septemba 7,2024 tumesikia taarifa kuhusiana na tukio hilo kupitia vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika.

Jeshi la Polisi, lingependa kutoa taarifa kuwa, lilipokea taarifa hiyo na kuanza uchunguzi wa kubaini kilichotokea, chanzo chake na watu waliohusika ni akina nani.

Imetolewa na:

David A. Misime - DCP

Msemaji wa Jeshi la Polisi

Makao Makuu ya Polisi

Dodoma, Tanzania

View attachment 3089524

Pia soma
Hawawezi kujichunguza wenyewe, polisi ni wahusika wakuu na huenda wana baraka zote kutenda haya!
 
Kuna taarifa kuwa mipango ya mauaji ya ally kibao imesukwa ndani ya CHADEMA baada ya kujua mzee huyo ni mwanajeshi mstaafu.

Inasemekana ndani ya CHADEMA mpango huo ulikuwa wa siku nyingi na walimuita aende Tanga kwa kazi ya chama kumbe ndio walikuwa wanamsuka auawe.

Kumbuka mauaji yanayopangwa na CHADEMA kwa nyakati hizi kuelekea uchaguzi ni kuzua taharuki jambo ambalo haliwezekani na jeshi la Polisi linabidi kuingilia kati kuichunguza CHADEMA .

CHADEMA ni shida sana wanauana kwa uchu wa madaraka na kusigana ndani kwa ndani, hadi uchaguzi uishe wataumizana sana!
 

Attachments

  • VID-20240908-WA0001.mp4
    24.9 MB
Mimi binafsi sijakuelewa kilaza labda wezangu........
 
Duuu

Police CCM c wapo mkuu kwann wasiwakamate watuhumiwaa km wanajulikana au ndio kuogopana
 
Kuna taarifa kuwa mipango ya mauaji ya ally kibao imesukwa ndani ya CHADEMA baada ya kujua mzee huyo ni mwanajeshi mstaafu.

Inasemekana ndani ya CHADEMA mpango huo ulikuwa wa siku nyingi na walimuita aende Tanga kwa kazi ya chama kumbe ndio walikuwa wanamsuka auawe.

Kumbuka mauaji yanayopangwa na CHADEMA kwa nyakati hizi kuelekea uchaguzi ni kuzua taharuki jambo ambalo haliwezekani na jeshi la Polisi linabidi kuingilia kati kuichunguza CHADEMA .

CHADEMA ni shida sana wanauana kwa uchu wa madaraka na kusigana ndani kwa ndani, hadi uchaguzi uishe wataumizana sana!
Next time ujifunze spinning, hata kuiwekanstory ikaaminika umeshindwa?

Oh chadema hivi chadema vile, siwatetei but unaweza atleast kurudha evidence hapa badala ya maneno matupu?
 
Polisi kabla ya kumchukuwa mtu, mjumbe wa sehemu hiyo ajulishwe sababu za kumkamata mtu, kama kuna uwezekano ma picha ipigwe pamoja polisi, mjumbe na mtuhumiwa.
 
TAARIFA KWA UMMA

Jana Septemba 6,2024 zilisambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa jioni maeneo ya Tegeta Jijini Dar es Salaam, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ally Mohamed Kibao, akiwa safarini na basi la Tashrif alichukuliwa na kushushwa toka kwenye basi hilo na watu ambao hawakuweza kujulikana majina yao.

Aidha, leo Septemba 7,2024 tumesikia taarifa kuhusiana na tukio hilo kupitia vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika.

Jeshi la Polisi, lingependa kutoa taarifa kuwa, lilipokea taarifa hiyo na kuanza uchunguzi wa kubaini kilichotokea, chanzo chake na watu waliohusika ni akina nani.

Imetolewa na:

David A. Misime - DCP

Msemaji wa Jeshi la Polisi

Makao Makuu ya Polisi

Dodoma, Tanzania

View attachment 3089524

Pia soma
Crap
 
Back
Top Bottom