Polisi wa Jimbo la Florida US wawapigia magoti waandamanaji, Polisi Tanzania ina la kujifunza

Polisi wa Jimbo la Florida US wawapigia magoti waandamanaji, Polisi Tanzania ina la kujifunza

watatoa adhabu ila sio inayostahili amini nakwambia walishawahi kumuachia polisi aloua kwaujinga kama huo

Polisi wa US wanawaonea sana watu weusi nasio wanawaonea tu yaani wanauw sanaaaa.....
Wanawashoot sana tu .... Hili tukio ni moja kati ya mengi tu ambayo hayajaonekana.
 
Nafsi inawasuta,Floyd kama mhalifu alistahili kuadhibiwa,lakini walichokifanya ni zaidi ya adhabu,wana mbinu nyingi sana wanazijua za kuadhibu lakini walichokifanya was beyond human torture,that was a deliberate killing.Nina uhakika mahakama itatoa adhabu inayostahili kwa wahusika,na hili walilofanya Polisi wa Florida linatakiwa lifanywe na Polisi wa states nyingine zote ili kupunguza machungu na hasira walizonazo blacks...
Uchungu ni wa race zote thus wote wameshiriki kutoa hisia zao.Hata ukisoma Twitter,fb ,na others social media za race zingine karibu zote duniani wamelaani mauaji hayo.We are global village.Hata Kama ameuliwa mchina,mhindi,nk stiil we are global village
 
ndio adhabu yao kuchukua ngozi nyeusi kuipeleka US.acha wavune walichopanda.sisi watu weusi si binadam hata kidogo!weusi tuna roho nyeusi
 
Bila shaka ni HEKIMA ya juu.
Maana kama polisi wangeamua kutumia nguvu.
Mambo yangezidi magumu zaidi.
Binafsi yangu NAWAPONGEZA hao polisi.
mapolisi wengi na majeshi uwa wanaamini wakivaa hayo magwanda wao ndo kila kitu.
Kila kitu kupitia uoga wa wananchi lakini si lolote si chochote panapo nguvu ya umma ikiamua kupinga uovu
 
Huku hamna polisi, bali kuna mashetani wanaotegemea kula kwa hisani ya watawala.
Unaposema huku kuna mashetani nashindwa kujua kama upo sahihi. Hivi chanzo cha hayo maandamano na machafuko ni nini kama sio huohuo ushetani wa hao polisi unaotaka kuwasifia? Halafu kumbuka hao polisi wa Marekani hawajafanya tukio moja tu la wiki iliyopita, wamefanya matukio mengi sana yanayowaumiza watu weusi. Unaweza pia kurejea kauli za Rais Trump kwenye vifo vya Corona jinsi zinavyoonyesha ubaguzi waziwazi.
 
Police wa Jimbo la Florida nchini US wameweka silaha zao chini na wakapiga magoti mbele ya waandamanaji kuwaomba msamaha, wamekubali kubeba lawama kwa kifo cha Floyd. Humanity restored.

polisi wa Tanzania hawawezi kufanya hivi kwa vile hawajawahi kushikishwa adabu na wananchi. hii challenge yako ielekezwe zaidi kwa wananchi kuliko kwa polisi kwani wao (polisi) hawana cha kupoteza!
 
Back
Top Bottom