Polisi wa Kenya wakiwa katika majukumu yao ya kila siku

Polisi wa Kenya wakiwa katika majukumu yao ya kila siku

Japo kwa Watanzania kujifanya wanahoji mambo ya polisi Kenya, ni unafiki na ujinga maana mkizingua tutawaletea mapicha humu ya matukio ya kwenu hadi muukimbie huu uzi, hapa nawapa tu kama onja fulani hivi, picha hii ya polisi baada ya kumlipua mwandishi wa habari Daudi Mwangosi hadi akabaki manyama yamezagaa

majeruhi-polisi-na-marehemu.jpg



Nyololo%252520masacre%2525206_thumb%25255B11%25255D.jpg

MK254
JF-Expert Member

Police wetu wana mapungufu ya hapa na pale, na yapo baadhi ya matukio machache sana kama hili la Mwangosi ya jamaa kumpiga bomu la machozi tumboni kwenye close range.

Ila baadhi ya matukio mengine ya kupikwa na vyama vya siasa kuonekana wanaonewa, sio picha halisi. Huko kwenu mi najua mengi sana, na sijawahi ona hapa matukio hayo ya video yakiwekwa humu. Police wenu hawafai kwa kweli, ntakushangaa sana ukitetea hili.

Katika 179 extrajudicial killings Africa kila mwaka, Kenya ndio mchangiaji mkubwa wa haya, 170 huwa Kenya. Uganda nao Polisi wao ni hovyo sana.
 


Japo kwa Watanzania kujifanya wanahoji mambo ya polisi Kenya, ni unafiki na ujinga maana mkizingua tutawaletea mapicha humu ya matukio ya kwenu hadi muukimbie huu uzi, hapa nawapa tu kama onja fulani hivi, picha hii ya polisi baada ya kumlipua mwandishi wa habari Daudi Mwangosi hadi akabaki manyama yamezagaa

majeruhi-polisi-na-marehemu.jpg




Nyololo%252520masacre%2525206_thumb%25255B11%25255D.jpg


MK254
JF-Expert Member



Pia ukumbuke kua, huyo Police anayeonekana akimpiga bomu Mwangosi alifungwa 15yrs. Na picha Inakuonesha hao Riot Police wakimbeba mwenzao aliyejeruhiwa na Bomu pia wakati akiwa kwenye harakati za kumtoa Mwangosi mikononi mwa Police wengine.

Ilikua ni sintofahamu, na hakukua na general consensus ya kumdhuru Mwangosi among them.

Police wa Tanzania huwezi fananisha ni wadudu wenu huko.
 
Back
Top Bottom