Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Mkazi wa Kaunti ya Eldoret Bwana Allan Kipturo 34 amekamatwa na Polisi wa Mjini humo siku ya jumatatu baada ya kukutwa na kiasi cha shilingi milioni 45.8 za bandia..
Polisi walisema walimkamata Allan Kipruto, baada ya wananchi kuripoti kuwa na mashaka na biashara zinazofanywa na kijana huyo.
Kamanda wa Polisi wa Kata ya Uasin Gishu, Johnson Ipara alisema Bwana Kipruto alikamatwa katika barabara kuu ya Eldoret-Nakuru, karibu na Annex. Kisha akafikishwa kituo cha polisi kuhojiwa kuhusu shutuma hizo.
Aidha, taarifa zinaeleza kuwa baada ya mahojiano Polisi walimchukua Bw. Ipara na kumpeleka nyumbani kwake kwa ajili ya kufanya uchunguzi ambako walikuta pesa bandia ikiwamo pesa za kenya, dola za Kimarekani, Euro ambazo kwa pamoja zilitimia Shilingi milioni 45.8 za Kenya pamoja na mashine ya kutengeneza pesa hizo.
Picha ya Bwana Allan Kipturo anayetuhumiwa kwa kumiliki pesa bandia
Zaidi Soma:
A man was arrested and Sh45.8 million in fake currency seized in Eldoret, Uasin Gishu County, on Monday.
Police said they apprehended Allan Kipruto, 34, after members of the public alerted them, saying they had been suspicious of his business around Annex on the outskirts of Eldoret town.
Uasin Gishu County Police Commander Johnson Ipara said Mr Kipruto was arrested along Eldoret-Nakuru highway, near Annex.
Upon interrogation, Mr Ipara said, he led police to a house behind Simba petrol station, where police found fake Kenya shillings, dollars and pounds and machines used to process it.
"Officers on patrol at around 2am received a tip-off from members of public, who were at Timber bar. When they arrested the suspect, he led them to a house where money valued at Sh45,800,000 was recovered,” he said.
Police also found fake Kenyan currency notes of Sh1,000.
Some of the fake dollars and euros amounting to Sh45.8 million that Allan Kipruto was found with in Eldoret, Uasin Gishu County, on December 16, 2019.
CHARGES
Mr Ipara said police launched a search for Mr Kipruto's accomplices.
He said the suspect will be charged with money laundering and having fake currency as soon as police complete investigations.
The police commander asked farmers and traders in Eldoret town to be weary of conmen circulating fake money.
"We have information that people are conning traders and farmers using fake currencies. We have been trailing them," he said.
Mr Ipara also asked residents to examine the money they are given so they they are not conned, especially during the festive season.
He said police patrols were intensified to curb crime during the holidays.
Source: Daily Nation
Polisi walisema walimkamata Allan Kipruto, baada ya wananchi kuripoti kuwa na mashaka na biashara zinazofanywa na kijana huyo.
Kamanda wa Polisi wa Kata ya Uasin Gishu, Johnson Ipara alisema Bwana Kipruto alikamatwa katika barabara kuu ya Eldoret-Nakuru, karibu na Annex. Kisha akafikishwa kituo cha polisi kuhojiwa kuhusu shutuma hizo.
Aidha, taarifa zinaeleza kuwa baada ya mahojiano Polisi walimchukua Bw. Ipara na kumpeleka nyumbani kwake kwa ajili ya kufanya uchunguzi ambako walikuta pesa bandia ikiwamo pesa za kenya, dola za Kimarekani, Euro ambazo kwa pamoja zilitimia Shilingi milioni 45.8 za Kenya pamoja na mashine ya kutengeneza pesa hizo.
Picha ya Bwana Allan Kipturo anayetuhumiwa kwa kumiliki pesa bandia
A man was arrested and Sh45.8 million in fake currency seized in Eldoret, Uasin Gishu County, on Monday.
Police said they apprehended Allan Kipruto, 34, after members of the public alerted them, saying they had been suspicious of his business around Annex on the outskirts of Eldoret town.
Uasin Gishu County Police Commander Johnson Ipara said Mr Kipruto was arrested along Eldoret-Nakuru highway, near Annex.
Upon interrogation, Mr Ipara said, he led police to a house behind Simba petrol station, where police found fake Kenya shillings, dollars and pounds and machines used to process it.
"Officers on patrol at around 2am received a tip-off from members of public, who were at Timber bar. When they arrested the suspect, he led them to a house where money valued at Sh45,800,000 was recovered,” he said.
Police also found fake Kenyan currency notes of Sh1,000.
Some of the fake dollars and euros amounting to Sh45.8 million that Allan Kipruto was found with in Eldoret, Uasin Gishu County, on December 16, 2019.
CHARGES
Mr Ipara said police launched a search for Mr Kipruto's accomplices.
He said the suspect will be charged with money laundering and having fake currency as soon as police complete investigations.
The police commander asked farmers and traders in Eldoret town to be weary of conmen circulating fake money.
"We have information that people are conning traders and farmers using fake currencies. We have been trailing them," he said.
Mr Ipara also asked residents to examine the money they are given so they they are not conned, especially during the festive season.
He said police patrols were intensified to curb crime during the holidays.
Source: Daily Nation