Polisi wa Tanzania ni wazuri sana! Elezea kwa mifano

Polisi wa Tanzania ni wazuri sana! Elezea kwa mifano

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Ni wakamilifu? Sijasema hivyo.

Isitoshe, hakuna taasisi ya kibinadamu iliyo kamilifu!

Pamoja na madhaifu yao, wana mengi sana mazuri. Shrikisha🙏

Usiandike madhaifu, bali mema tu. Elezea matukio yaliyowahi kufanywa na Polisi wa Tanzania, iwe ulishuhudia au umesimuliwa na mtu mwingine, ambayo ni mojawapo ya kazi za Jeshi la Poklisi. Cha msingi, uwe umejieridhisha kuwa ni "ushuhuda" wa kweli.

Naamini humu JF kuna maofisa wa Jeshi la Polisi.

Karibu kwa michango itakayowatia moyo🙏
 
1.Mimi nilishikwa nimebeba mzigo wa dili, nikatoa laki 1 nikaachiwa,
2.Kuna Jamaa mwingine nilimuuzia mzigo wa dili mbele akashikwa, mfukoni hana pesa, ikabidi pesa aliyonipa yote nikaongeza na nyingine tukawapa polisi Jamaa akaachiwa.
3.Siku moja nikiwa nafanya kazi mgodi wa Bulyanhulu nili escort container la makinikia kuja Dar.
Jamaa polisi maeneo ya Igunga wakatusimamisha. Mzigo ni full vibali hawaruhusiwi hata kuufungua. Eti jamaa pamoja na hivyo lakini walikuwa wanataka rushwa. Mmoja akafunguka kuwa kama vipi tutoroshe mzigo tuuibe.
Imagine polisi anashawishi raia waibe mzigo. Tulikataa, sasa Ili tusije pigwa chuma nikatumia akili kubwa kuwapiga chenga.
Daaah.
Tanzania kwa ufupi hatuna polisi
 
Mataa ya kamata pale hua kuna Bodaboda wanapaki, sasa Hawa Bodaboda anajuana na polisi wa pale. Jion kukiwa na operation kwa sababu ya uchache wa askari. Hawa Bodaboda ndo wanakamata madereva pikipiki wengine pale Mataa na kuwakabidhi kwa askari.

Nmetoka Kigamboni Nafika pale Mataa nakamatwa napelekwa kwa askari mmoja hiv ana nyota, naulizia kosa langu nilipo, nikamjibu sina kosa na pikipiki ina vibali vyote, KAGUA.

Hilo neno KAGUA ndo lilinionyesha wema wa polisi. Sku ile walinipa Sehem ya kulala pale central mpaka kesho yake saa9 mchana.

Nawashukuru kwa wema wao bila hivyo ningelala nyumban
 
1.Mimi nilishikwa nimebeba mzigo wa dili, nikatoa laki 1 nikaachiwa,
2.Kuna Jamaa mwingine nilimuuzia mzigo wa dili mbele akashikwa, mfukoni hana pesa, ikabidi pesa aliyonipa yote nikaongeza na nyingine tukawapa polisi Jamaa akaachiwa.
3.Siku moja nikiwa nafanya kazi mgodi wa Bulyanhulu nili escort container la makinikia kuja Dar.
Jamaa polisi maeneo ya Igunga wakatusimamisha. Mzigo ni full vibali hawaruhusiwi hata kuufungua. Eti jamaa pamoja na hivyo lakini walikuwa wanataka rushwa. Mmoja akafunguka kuwa kama vipi tutoroshe mzigo tuuibe.
Imagine polisi anashawishi raia waibe mzigo. Tulikataa, sasa Ili tusije pigwa chuma nikatumia akili kubwa kuwapiga chenga.
Daaah.
Tanzania kwa ufupi hatuna polisi
Aa nyie ndio tunawatafuta
 
Ni wakamilifu? Sijasema hivyo.

Isitoshe, hakuna taasisi ya kibinadamu iliyo kamilifu!

Pamoja na madhaifu yao, wana mengi sana mazuri. Shrikisha🙏

Usiandike madhaifu, bali mema tu. Elezea matukio yaliyowahi kufanywa na Polisi wa Tanzania, iwe ulishuhudia au umesimuliwa na mtu mwingine, ambayo ni mojawapo ya kazi za Jeshi la Poklisi. Cha msingi, uwe umejieridhisha kuwa ni "ushuhuda" wa kweli.

Naamini humu JF kuna maofisa wa Jeshi la Polisi.

Karibu kwa michango itakayowatia moyo🙏

F4rrZMeW0AAfUSJ.jpeg
 
1.Mimi nilishikwa nimebeba mzigo wa dili, nikatoa laki 1 nikaachiwa,
2.Kuna Jamaa mwingine nilimuuzia mzigo wa dili mbele akashikwa, mfukoni hana pesa, ikabidi pesa aliyonipa yote nikaongeza na nyingine tukawapa polisi Jamaa akaachiwa.
3.Siku moja nikiwa nafanya kazi mgodi wa Bulyanhulu nili escort container la makinikia kuja Dar.
Jamaa polisi maeneo ya Igunga wakatusimamisha. Mzigo ni full vibali hawaruhusiwi hata kuufungua. Eti jamaa pamoja na hivyo lakini walikuwa wanataka rushwa. Mmoja akafunguka kuwa kama vipi tutoroshe mzigo tuuibe.
Imagine polisi anashawishi raia waibe mzigo. Tulikataa, sasa Ili tusije pigwa chuma nikatumia akili kubwa kuwapiga chenga.
Daaah.
Tanzania kwa ufupi hatuna polisi
Umeelewa kichwa Cha Uzi?
 
Mataa ya kamata pale hua kuna Bodaboda wanapaki, sasa Hawa Bodaboda anajuana na polisi wa pale. Jion kukiwa na operation kwa sababu ya uchache wa askari. Hawa Bodaboda ndo wanakamata madereva pikipiki wengine pale Mataa na kuwakabidhi kwa askari.

Nmetoka Kigamboni Nafika pale Mataa nakamatwa napelekwa kwa askari mmoja hiv ana nyota, naulizia kosa langu nilipo, nikamjibu sina kosa na pikipiki ina vibali vyote, KAGUA.

Hilo neno KAGUA ndo lilinionyesha wema wa polisi. Sku ile walinipa Sehem ya kulala pale central mpaka kesho yake saa9 mchana.

Nawashukuru kwa wema wao bila hivyo ningelala nyumban
Umeandika kinafiki Sana😅
 
1.Mimi nilishikwa nimebeba mzigo wa dili, nikatoa laki 1 nikaachiwa,
2.Kuna Jamaa mwingine nilimuuzia mzigo wa dili mbele akashikwa, mfukoni hana pesa, ikabidi pesa aliyonipa yote nikaongeza na nyingine tukawapa polisi Jamaa akaachiwa.
3.Siku moja nikiwa nafanya kazi mgodi wa Bulyanhulu nili escort container la makinikia kuja Dar.
Jamaa polisi maeneo ya Igunga wakatusimamisha. Mzigo ni full vibali hawaruhusiwi hata kuufungua. Eti jamaa pamoja na hivyo lakini walikuwa wanataka rushwa. Mmoja akafunguka kuwa kama vipi tutoroshe mzigo tuuibe.
Imagine polisi anashawishi raia waibe mzigo. Tulikataa, sasa Ili tusije pigwa chuma nikatumia akili kubwa kuwapiga chenga.
Daaah.
Tanzania kwa ufupi hatuna polisi
Pole sana mkuu!

Lakini nikiomba tuyaeleze mazuri yao tu. Madhaifu yanafahamika, lakini ni wachache wanaomfahamu mazuri ya hao makamanda
Wako wengi wanaofanya kazi nzuri sana. Tusiache kutambua jitihada zao kwa sababu ya wachache wao.

Polisi mmoja kufanya uovu si Polisi wote wamefanya hivyo. Usilitupe tenga zima la samaki kwa sababu ya samaki mmoja aliyeoza.
 
Ni wakamilifu? Sijasema hivyo.

Isitoshe, hakuna taasisi ya kibinadamu iliyo kamilifu!

Pamoja na madhaifu yao, wana mengi sana mazuri. Shrikisha🙏

Usiandike madhaifu, bali mema tu. Elezea matukio yaliyowahi kufanywa na Polisi wa Tanzania, iwe ulishuhudia au umesimuliwa na mtu mwingine, ambayo ni mojawapo ya kazi za Jeshi la Poklisi. Cha msingi, uwe umejieridhisha kuwa ni "ushuhuda" wa kweli.

Naamini humu JF kuna maofisa wa Jeshi la Polisi.

Karibu kwa michango itakayowatia moyo🙏
Screenshot_20231217-124334.png
 
Mataa ya kamata pale hua kuna Bodaboda wanapaki, sasa Hawa Bodaboda anajuana na polisi wa pale. Jion kukiwa na operation kwa sababu ya uchache wa askari. Hawa Bodaboda ndo wanakamata madereva pikipiki wengine pale Mataa na kuwakabidhi kwa askari.

Nmetoka Kigamboni Nafika pale Mataa nakamatwa napelekwa kwa askari mmoja hiv ana nyota, naulizia kosa langu nilipo, nikamjibu sina kosa na pikipiki ina vibali vyote, KAGUA.

Hilo neno KAGUA ndo lilinionyesha wema wa polisi. Sku ile walinipa Sehem ya kulala pale central mpaka kesho yake saa9 mchana.

Nawashukuru kwa wema wao bila hivyo ningelala nyumban
Lakini mkuu mbona niliomba tusiwalaumu bali tuyaseme mazuri yao tuliyowahi kuyashuhudia?
 
Back
Top Bottom