GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Ni wakamilifu? Sijasema hivyo.
Isitoshe, hakuna taasisi ya kibinadamu iliyo kamilifu!
Pamoja na madhaifu yao, wana mengi sana mazuri. Shrikisha🙏
Usiandike madhaifu, bali mema tu. Elezea matukio yaliyowahi kufanywa na Polisi wa Tanzania, iwe ulishuhudia au umesimuliwa na mtu mwingine, ambayo ni mojawapo ya kazi za Jeshi la Poklisi. Cha msingi, uwe umejieridhisha kuwa ni "ushuhuda" wa kweli.
Naamini humu JF kuna maofisa wa Jeshi la Polisi.
Karibu kwa michango itakayowatia moyo🙏
Isitoshe, hakuna taasisi ya kibinadamu iliyo kamilifu!
Pamoja na madhaifu yao, wana mengi sana mazuri. Shrikisha🙏
Usiandike madhaifu, bali mema tu. Elezea matukio yaliyowahi kufanywa na Polisi wa Tanzania, iwe ulishuhudia au umesimuliwa na mtu mwingine, ambayo ni mojawapo ya kazi za Jeshi la Poklisi. Cha msingi, uwe umejieridhisha kuwa ni "ushuhuda" wa kweli.
Naamini humu JF kuna maofisa wa Jeshi la Polisi.
Karibu kwa michango itakayowatia moyo🙏