Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Nitakununulia kaka. Uache kuvizia za kuvamia 😂😂Nasuburi niende iStore Mlimani city nikajichukulie iPad, Apple Watch, iPhone, Mac buree..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakununulia kaka. Uache kuvizia za kuvamia 😂😂Nasuburi niende iStore Mlimani city nikajichukulie iPad, Apple Watch, iPhone, Mac buree..
Unapoteaga hadi nikajua umechange id. Nikajua ile id yenye namba namba mtu anasema anaolewa ni wewe bwana.Nitakununulia kaka. Uache kuvizia za kuvamia 😂😂
😂😂😂 nimejaa tele nakula maepo huku bushUnapoteaga hadi nikajua umechange id. Nikajua ile id yenye namba namba mtu anasema anaolewa ni wewe bwana.
Ok, fanya iPhone X huu mwaka.
Hizo wataku trace hadi chooni kwako unakata gogo.Nasuburi niende iStore Mlimani city nikajichukulie iPad, Apple Watch, iPhone, Mac buree..
Tutakuwa wote mkuu,Nasuburi niende iStore Mlimani city nikajichukulie iPad, Apple Watch, iPhone, Mac buree..
AiseePolice tulikuepo bhana
Polisi wa Tanzania wako Vizuri kuliko wa Kenya ona Naivas Supermarket ilivyoporwa na waandamanaji mjini Naivasha katikati ya mji na hakuna polisi alitokea kuwazuia Ingekuwa Tanzania polisi wangeshatokea na kuwaonyesha Cha mtema Kuni Hao waandamanaji waporaji
View: https://youtu.be/6aVIx2qlLxg?si=PLkRmIXYD0NvBE-F
Hilo ndilo swali la Kuuliza sio kuropoka. Hiyo Supermarket Ina uhusiano na serikali ya Ruto. Waandamanaji waliolenga biashara za wabunge waliopoiga kura ya ndio na marafiki zao.Sidhani
Sasa hiyo supermarket imewakosea Nini?
Linawezekana vizuri tu.Hilo Kwa Tanzania haliwezekani utasubiri sana
Polisi wa Tanzania wako Vizuri kuliko wa Kenya ona Naivas Supermarket ilivyoporwa na waandamanaji mjini Naivasha katikati ya mji na hakuna polisi alitokea kuwazuia Ingekuwa Tanzania polisi wangeshatokea na kuwaonyesha Cha mtema Kuni Hao waandamanaji waporaji
View: https://youtu.be/6aVIx2qlLxg?si=PLkRmIXYD0NvBE-F