Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu

Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu

Ila elimu angalau ya diploma na degree ni muhimu sana kwa Polis wetu, ijapokuwa kuna ulakini katika elimu yetu ya juu!

Nilijaribu kufanya utafiti kidogo, na kubaini kuna utofauti mkubwa sana wa kimawazo kati ya Polisi au mwanajeshi mwenye bachelor degree na huyo form four failure!
Kama kuna ulakini kwenye elimu yetu, elimu yako pia ina ulakini pia na uliyoyaandika yana ulakini kwa sababu elimu yako ina ulakini.
 
Polisi wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya wametandikwa na Raia wa Malawi baada ya kuingia nchi hiyo ya kigeni kwa lengo la kuwasaka wafanya magendo .

Bado Haijafahamika walikopata utaratibu huo wa kuingia nchi ya watu kutafuta wahalifu huku Nchi ya Malawi ikiwa na Polisi wake , hata hivyo tunaishukuru serikali ya Malawi kwa kuwanusuru na vifo baada ya kuingilia kati kuwaokoa .

View attachment 1941078
Huko ndiko wananchi wanajitambua sasa sio sisi huko Tzn mijitu kama Hamza nk inavyka mipaka tunaichekea eti hatuna habari nao..

Natamani siku Hawa tunaojifanyaga ni ndugu zetu waje wakiwashe tudondoke kama buku hivi ndio akili zitakaa sawa kwamba mgeni yoyote sio wa kumchekea..Ni Tzn pekee ndiko akiingia mtu asiye Raia watu hujifanya hayawahusu.
 
Polisi wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya wametandikwa na Raia wa Malawi baada ya kuingia nchi hiyo ya kigeni kwa lengo la kuwasaka wafanya magendo .

Bado Haijafahamika walikopata utaratibu huo wa kuingia nchi ya watu kutafuta wahalifu huku Nchi ya Malawi ikiwa na Polisi wake , hata hivyo tunaishukuru serikali ya Malawi kwa kuwanusuru na vifo baada ya kuingilia kati kuwaokoa .

View attachment 1941078
Bado Haijafahamika walikopata utaratibu huo wa kuingia nchi ya watu kutafuta wahalifu huku Nchi ya Malawi ikiwa na Polisi wake , hata hivyo tunaishukuru serikali ya Malawi kwa kuwanusuru na vifo baada ya kuingilia kati kuwaokoa .[emoji23]
 
Polisi wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya wametandikwa na Raia wa Malawi baada ya kuingia nchi hiyo ya kigeni kwa lengo la kuwasaka wafanya magendo .

Bado Haijafahamika walikopata utaratibu huo wa kuingia nchi ya watu kutafuta wahalifu huku Nchi ya Malawi ikiwa na Polisi wake , hata hivyo tunaishukuru serikali ya Malawi kwa kuwanusuru na vifo baada ya kuingilia kati kuwaokoa .

View attachment 1941078
Kazi nzuri, kihere here ni tabia mbaya maishani sio siri! Asante wana Lilongwe😅
 
Hao ni mashujaa kama Shujaa Hamza. Ahsante sana Wamalawi.

Polisi wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya wametandikwa na Raia wa Malawi baada ya kuingia nchi hiyo ya kigeni kwa lengo la kuwasaka wafanya magendo .

Bado Haijafahamika walikopata utaratibu huo wa kuingia nchi ya watu kutafuta wahalifu huku Nchi ya Malawi ikiwa na Polisi wake , hata hivyo tunaishukuru serikali ya Malawi kwa kuwanusuru na vifo baada ya kuingilia kati kuwaokoa .

View attachment 1941078
 
Malawi ni taifa masikini na dogo Ila watu wake wanajielewa sana. Wamejenga taasisi imara na wanaziheshimu taasisi zao. Nadhani hata raia wanayo elimu ya uraia kwa wingi wao. Hongera Wamalawi kwa kuwakumbusha polisi wetu kuheshimu sheria bila shuruti.
 
Jf sijui inaelekea wapi? Watu badala ya kuhoji kwanza chanzo cha habari wanabaki kurukia na kushadadia wasiyoyajua tu!
 
They are very lucky the Geneva convention accord and treaty came to their rescue otherwise they would have been lynched to death because by trespassing other sovereign state border is to breach international land border and that offense is attempted murder and if convicted straight away an execution sentence by firing squad.

They are lucky!
Hao shule ndogo sidhani hata kama waliwahi pigwa msasa juu ya jambo hili!!?
 
Polisi wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya wametandikwa na Raia wa Malawi baada ya kuingia nchi hiyo ya kigeni kwa lengo la kuwasaka wafanya magendo .

Bado Haijafahamika walikopata utaratibu huo wa kuingia nchi ya watu kutafuta wahalifu huku Nchi ya Malawi ikiwa na Polisi wake , hata hivyo tunaishukuru serikali ya Malawi kwa kuwanusuru na vifo baada ya kuingilia kati kuwaokoa .

View attachment 1941078


Elimu, elimu, elimu ndugu zangu ni muhimu
 
Niliwahi kushangaa kusikia wanachofanya huko Isongole nilishangaa sana nikasema hawa kwa Wamalawi ipo siku watapoteza maisha harafu hayo maeneo watu wanaishi hivyo miaka nenda miaka rudi wao mtu akibeba karanga tuu za kutoka upande wa Malawi analetewa usumbufu kwenye sukari ndio kabisaa hata za matumizi ya nyumbani naona waliamua kuvuka mpaka kupitia porini kule ili wapate zaidi..
 
Si ajabu walienda kupekua gongo malawi wakati kule gongo ni sawa na pepsi tuuu mnaweza mkakaa na mkawa mnakunywa na polisi... Yaani gongo kule ni halali..[emoji3][emoji23][emoji1787]
 
Bahati yao labda wana ushirikiano na polisi wa upande wa pili, otherwise hilo ni suala kubwa sana kama mataifa yangekuwa mahasimu...
 
Polisi wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya wametandikwa na Raia wa Malawi baada ya kuingia nchi hiyo ya kigeni kwa lengo la kuwasaka wafanya magendo .

Bado Haijafahamika walikopata utaratibu huo wa kuingia nchi ya watu kutafuta wahalifu huku Nchi ya Malawi ikiwa na Polisi wake , hata hivyo tunaishukuru serikali ya Malawi kwa kuwanusuru na vifo baada ya kuingilia kati kuwaokoa .

View attachment 1941078
Wangeyapiga wayaue kabisa,

Hakuna kitu hapo, shuleni yalikuwa vilaza,yakafeli,kazi yamepata kimagumashi,kisa mjomba,shangazi ni polisi,yaani zile reject za shuleni ndio huperekwa polisi.

Alisema Prof Assad, asilimia 60 ya watumishi wa umma ni vilaza.
 
Back
Top Bottom