Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu

Siku wakijaribu huku Kenya,tutawarudushie majeruhi.Polisi wa Tanzania hata Kiingereza tu hawajui
Mbona Kuna Askari wenu alijaribu kuleta mambo kama haya kule kwenye boda ya Jasini, Tanga. Ashukuru viongozi wenu wa County ya kwale walikuja kupiga magoti la sivyo angeliwa kiboga
 
Jamani mamlaka ya polisi mwisho ni mpakani mwa nchi, sasa kuingia nchi nyingine kutafuta mwalifu ni kuvamia nchi usika.
 
Mshika mawili moja humponyoka.Mna wahalifu wa kupeleka mahakamani na mnabadili route baada ya kuona bodaboda yenye magendo.Mungu tuhurumie!!
 
Tena wangepigwa kipigo cha mbwa mwizi wakome kuvuka mipaka, walidhani ni Kariakoo huko?
 
Natamani ningekuwepo hapo askari wa Malawi wangekuwa na kazi kubwa ya kunizuia kuwachakaza hao PT
 
Inamaana hapo kuna tuhuma pia za wamalawi kunyanyaswa wakiwa upande wetu kitu ambacho sii kizuri
Hamna kitu Kama hicho, wamalawi mbona wanaingia tz na kutoka bila shida yeyote, sema inshu ni askali wa tz na askali wa Malawi , huwa wanakaziana kwelikweli pale mmoja anapoingia kwenye 18 za mwngine. Nawajua vzr ma pot wa Malawi nimewahi kuwa Malawi Mara kadhaa kwa wananchi hawana shida nao peace tu !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…