Wakuu salaam,
Polisi waliopelekwa Iringa mwaka jana kutoka mikoa ya jirani ikiwa ni pamoja na Dodoma,
ili kuidhibiti CHADEMA wanadai kutolipwa posho yao! Waliahidiwa kulipwa 45,000 kila mmoja kwa siku na walikaa siku 10.
Polisi wanaodai kutolipwa ni waliotoka mkoa wa Dodoma ambao walipelekwa 27 kwa shughuli hiyo maalumu.
Haijafahamika kwa haraka ni kwa nini hawajalipwa posho zao hizo pamoja na kutekeleza walioagizwa kwa ufasaha.
Ikumbukwe ni katika kazi yao hiyo ndipo ndugu Mwangosi aliuwawa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la kurushwa kwa mkono akiwa mikononi mwa polisi hao!
Source: Mwananchi.
link Polisi waliosambaratisha Chadema mkoani Iringa wadai posho zao - Siasa - mwananchi.co.tz
Polisi waliopelekwa Iringa mwaka jana kutoka mikoa ya jirani ikiwa ni pamoja na Dodoma,
ili kuidhibiti CHADEMA wanadai kutolipwa posho yao! Waliahidiwa kulipwa 45,000 kila mmoja kwa siku na walikaa siku 10.
Polisi wanaodai kutolipwa ni waliotoka mkoa wa Dodoma ambao walipelekwa 27 kwa shughuli hiyo maalumu.
Haijafahamika kwa haraka ni kwa nini hawajalipwa posho zao hizo pamoja na kutekeleza walioagizwa kwa ufasaha.
Ikumbukwe ni katika kazi yao hiyo ndipo ndugu Mwangosi aliuwawa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la kurushwa kwa mkono akiwa mikononi mwa polisi hao!
Source: Mwananchi.
link Polisi waliosambaratisha Chadema mkoani Iringa wadai posho zao - Siasa - mwananchi.co.tz