Polisi wafafanua tukio la Wakili Lusako Alphonce kukikimbizwa na Polisi katika Ofisi za "Reachout Tanzania"

Huyu Lusako atakuwa anamatatizo ya akili siyo mara yake ya kwanza kuleta taharuki.
 
Nyie wote mnaoishi Tanzania ni watumwa.
We mtumwa unachoongea nakuunga mkono. Heri uwe "mtumwa" anayethaminika, mwenye haki sawa na wenye nchi kasoro kuchagua na kuchaguliwa, kuliko kuishi kama mfu kwenye unsyojidangganya ni yako huku ukiwa huna haki yoyote bila connection, hata haki ya kuchagua, kuchaguliwa na kutoa mawazo nayo hawana haafu wanajiraji wapo nyubani, nyumbani my foot
 
Huyu baba asipotubu dhambi za uongo ulio kubuhu basi siku ya kiama ajiandae kuchomwa moto wake malaika wa adhabu watatumia Chlorine Trifluoride (ClF3). Yaani muende kumkamata mhusika mwingine kisha muondoke na gari ya mtu mwingine?.
Shuhuda kahojiwa na Jambo tv anasema polisi aliyekuwa na kitambulisho alisema wazi kuwa wamekuja kumkamata mtuhumiwa anaitwa Lusako. David Misime tubu mapema kabla hayajakukuta.
 
Polisi bana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Yaani kwenye taarifa yao wameshindwa kutoa hata namba ya jarada la kesi ya mtuhumiwa ili tujiridhishe kuwa ni kweli alikua na kesi. 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa tumekuwa kama channel ya vituko vya majonzi!
 
Hapa ndipo nawahurumia polisi maana itafika mahali wakiingia hata baa kwa nia njema watu wanaweza wakatoka nduki.Kwa hofu ambayo imeshajengwa kwenye jamii.Hebu washauri wa nchi hii washauri watu kabla mambo hayajaharibika zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…