Waganga hao waliwapa sumu dalali wa mchongo ni huyo rafiki yao...... so walipewa sumu wafe .....Jeshi la Polisi limeleza kuwa Wafanyabiashara Raymond Hyera maarufu Ray (25) na Riziki Mohamed (30) wa Songea, Ruvuma waliokuwa wamepotea walienda kwa Mganga kupata dawa ya kuwezesha biashara zao kufanya vema zaidi ambapo walinyweshwa maji yaliyowafanya walegee na kupoteza maisha na kisha Mganga kuwazika katika pori la Mdinguli.
View attachment 3087066
View attachment 3087065
Nini kinachoshindikana ikiwa waganga wanawasaidizi wao.Daaah yaani Tanzania yetu hii jamani vituko haviishi
Yaani mganga awape wateja wake maji wanywe walegee hadi kufa halafu akawazike kwenye pori la hifadhi.
Hizi mtu mmoja kuzika watu wawili mnaona ni jambo jepesi
Na wewe kwa ufahamu wako unaamini hiloWaganga ni noma Kwa sasa wengi Wana tamaa kama vile walivyo askari polisi ukionekana na hela keshi umeisha.
Mimi akili imegoma kukubali sijui kwa nini.Na wewe kwa ufahamu wako unaamini hilo
Wasaidizi wapiNini kinachoshindikana ikiwa waganga wanawasaidizi wao.
Vyombo vya plastiki ππππJaman mpaka watu wanakufa wanazikwa Vyombo vyetu vya Plastiki vipo wapii
Motherland nakulilia
Kama akili yako sio ya kinyonge huwezi kukubaliana Na hiloMimi akili imegoma kukubali sijui kwa nini.
Haya sasa waganga wamefikiwa, swali chokonozi? Je waganga wanapelekewa na nani hao watu wa kutoa kafara?Jeshi la Polisi limeleza kuwa Wafanyabiashara Raymond Hyera maarufu Ray (25) na Riziki Mohamed (30) wa Songea, Ruvuma waliokuwa wamepotea walienda kwa Mganga kupata dawa ya kuwezesha biashara zao kufanya vema zaidi ambapo walinyweshwa maji yaliyowafanya walegee na kupoteza maisha na kisha Mganga kuwazika katika pori la Mdinguli.
View attachment 3087066
View attachment 3087065
Kusoma macho huna au? Wameshikwa watu watatuWasaidizi wapi
Mbona kwenye huo waraka amekamatwa mganga tu