ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Soma maelekezo hao sio wasaidizi wa mgangaKusoma macho huna au? Wameshikwa watu watatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma maelekezo hao sio wasaidizi wa mgangaKusoma macho huna au? Wameshikwa watu watatu
Actually hiki ndio kinachotakiwa. Watu wamepotea, either kwa kutekwa au kufia kwa waganga, vyombo vya dola vifanye kazi yake,tupate majibuUnaona sasa, chadema wao kusingizia Polisi tu
HahahahaJaman mpaka watu wanakufa wanazikwa Vyombo vyetu vya Plastiki vipo wapii
Motherland nakulilia
Yan mkuu ulitaka polisi wawepo kwa mganga kuhakikisha kila anayetibiwa ?Jaman mpaka watu wanakufa wanazikwa Vyombo vyetu vya Plastiki vipo wapii
Motherland nakulilia
Unaelewa maana ya ulinzi na usalama mkuuYan mkuu ulitaka polisi wawepo kwa mganga kuhakikisha kila anayetibiwa ?
Waganga watapewa sana kesi, na aina ya waganga watakaorundikiwa hizi kesi ni wale wale Deep Cover officers. Imechukua au inachukua muda kuwa spot sababu ni hadi wale walio wa assign hizo roles wakubali wabebeshwe hizo tuhuma kwa maslahi ya serikali wanayoilinda, Yes, wanayoilinda sababu Polisi wavhuko huwa wanalinda serikali, hawalindi nchi.Jeshi la Polisi limeleza kuwa Wafanyabiashara Raymond Hyera maarufu Ray (25) na Riziki Mohamed (30) wa Songea, Ruvuma waliokuwa wamepotea walienda kwa Mganga kupata dawa ya kuwezesha biashara zao kufanya vema zaidi ambapo walinyweshwa maji yaliyowafanya walegee na kupoteza maisha na kisha Mganga kuwazika katika pori la Mdinguli.
View attachment 3087066
View attachment 3087065
Porojo tu hizi hawa polisi huwezi kuwaamini. Ukishajijengea tabia ya kutoaminika, ni uongo tu huo wa kuwapoteza akina Soka.Jeshi la Polisi limeleza kuwa Wafanyabiashara Raymond Hyera maarufu Ray (25) na Riziki Mohamed (30) wa Songea, Ruvuma waliokuwa wamepotea walienda kwa Mganga kupata dawa ya kuwezesha biashara zao kufanya vema zaidi ambapo walinyweshwa maji yaliyowafanya walegee na kupoteza maisha na kisha Mganga kuwazika katika pori la Mdinguli.
View attachment 3087066
View attachment 3087065
mmmmh hayaC
ollins Jumaisi
Huko kwa "BABA" wakamuiba na kumtrosha Collins Jumaisi baada yakuona uongo wao uneshtukiwa....mmmmh haya
Labda alikuwa na kikosi kazi utajuaje?Daaah yaani Tanzania yetu hii jamani vituko haviishi
Yaani mganga awape wateja wake maji wanywe walegee hadi kufa halafu akawazike kwenye pori la hifadhi.
Hizi mtu mmoja kuzika watu wawili mnaona ni jambo jepesi
Picha ya mganga?Jeshi la Polisi limeleza kuwa Wafanyabiashara Raymond Hyera maarufu Ray (25) na Riziki Mohamed (30) wa Songea, Ruvuma waliokuwa wamepotea walienda kwa Mganga kupata dawa ya kuwezesha biashara zao kufanya vema zaidi ambapo walinyweshwa maji yaliyowafanya walegee na kupoteza maisha na kisha Mganga kuwazika katika pori la Mdinguli.
View attachment 3087066
View attachment 3087065
Ni kawaida kupenda kusikia unachotaka kusikiaMimi akili imegoma kukubali sijui kwa nini.