Polisi wakamata wanawake wawili wakiwa na misokoto 1,220 ya bangi

Polisi wakamata wanawake wawili wakiwa na misokoto 1,220 ya bangi

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Wanawake wawili wakazi wa Mkoa wa Arusha wanashikiliwa na polisi wa Mkoa wa Manyara, kwa tuhuma za kukutwa na misokoto 1,220 ya dawa za kilevya aina ya bangi.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, George Katabazi akizungumza na Mwananchi Digital leo jumanne Septemba 27 amesema wanawake hao wamekamatwa kijiji cha Mswakini wilayani Babati.

Kamanda Katabazi amewataja wanawake hao kuwa ni Beatrice Abel aliyekamatwa na misokoto 630 na Glory Samwel akiwa na misokoto 597 wote wakazi wa Ngaramtoni mkoani Arusha.

"Wanawake hao walikuwa wamepanda basi la kampuni ya KSK linalofanya safari zake kutoka mkoani Tanga kuelekea mkoani Arusha na walipofika kijiji cha mswakini ukaguzi mkali ulifanywa na polisi wakawakamata," amesema.

Kamanda Katabazi amesema wanatarajia kuwafikisha mahakamani watuhumiwa hao pindi uchunguzi wake utakapokamilika.

Chanzo: Mwananchi
 
Wanawake wawili wakazi wa Mkoa wa Arusha wanashikiliwa na polisi wa Mkoa wa Manyara, kwa tuhuma za kukutwa na misokoto 1,220 ya dawa za kilevya aina ya bangi.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, George Katabazi akizungumza na Mwananchi Digital leo jumanne Septemba 27 amesema wanawake hao wamekamatwa kijiji cha Mswakini wilayani Babati.

Kamanda Katabazi amewataja wanawake hao kuwa ni Beatrice Abel aliyekamatwa na misokoto 630 na Glory Samwel akiwa na misokoto 597 wote wakazi wa Ngaramtoni mkoani Arusha.

"Wanawake hao walikuwa wamepanda basi la kampuni ya KSK linalofanya safari zake kutoka mkoani Tanga kuelekea mkoani Arusha na walipofika kijiji cha mswakini ukaguzi mkali ulifanywa na polisi wakawakamata," amesema.

Kamanda Katabazi amesema wanatarajia kuwafikisha mahakamani watuhumiwa hao pindi uchunguzi wake utakapokamilika.

Chanzo: Mwananchi
DSiamini, mana polisi kwa sasa hawaaminiki, si ajabu wamewabambikia
 
Wanawake wawili wakazi wa Mkoa wa Arusha wanashikiliwa na polisi wa Mkoa wa Manyara, kwa tuhuma za kukutwa na misokoto 1,220 ya dawa za kilevya aina ya bangi.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, George Katabazi akizungumza na Mwananchi Digital leo jumanne Septemba 27 amesema wanawake hao wamekamatwa kijiji cha Mswakini wilayani Babati.

Kamanda Katabazi amewataja wanawake hao kuwa ni Beatrice Abel aliyekamatwa na misokoto 630 na Glory Samwel akiwa na misokoto 597 wote wakazi wa Ngaramtoni mkoani Arusha.

"Wanawake hao walikuwa wamepanda basi la kampuni ya KSK linalofanya safari zake kutoka mkoani Tanga kuelekea mkoani Arusha na walipofika kijiji cha mswakini ukaguzi mkali ulifanywa na polisi wakawakamata," amesema.

Kamanda Katabazi amesema wanatarajia kuwafikisha mahakamani watuhumiwa hao pindi uchunguzi wake utakapokamilika.

Chanzo: Mwananchi
Basi la Arusha to Tanga na wamekamatiwa Mkoa wa Manyaea, hii taarifa vipi?
 
Wanawake wawili wakazi wa Mkoa wa Arusha wanashikiliwa na polisi wa Mkoa wa Manyara, kwa tuhuma za kukutwa na misokoto 1,220 ya dawa za kilevya aina ya bangi.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, George Katabazi akizungumza na Mwananchi Digital leo jumanne Septemba 27 amesema wanawake hao wamekamatwa kijiji cha Mswakini wilayani Babati.

Kamanda Katabazi amewataja wanawake hao kuwa ni Beatrice Abel aliyekamatwa na misokoto 630 na Glory Samwel akiwa na misokoto 597 wote wakazi wa Ngaramtoni mkoani Arusha.

"Wanawake hao walikuwa wamepanda basi la kampuni ya KSK linalofanya safari zake kutoka mkoani Tanga kuelekea mkoani Arusha na walipofika kijiji cha mswakini ukaguzi mkali ulifanywa na polisi wakawakamata," amesema.

Kamanda Katabazi amesema wanatarajia kuwafikisha mahakamani watuhumiwa hao pindi uchunguzi wake utakapokamilika.

Chanzo: Mwananchi
Ngaraa ni shida sana , halafu hivyo videmu ndio ukikutana navyo The Hub vinavimba eti vinavizia wadhungu 🙄vinakuwa vinanuka bangi na bia moja mwanzo mwisho. ..Bora nirudi chimbo langu Bluestone tu
 
Basi la Arusha to Tanga na wamekamatiwa Mkoa wa Manyaea, hii taarifa vipi?
Hata mm nimeshangaa huenda linapita Handeni-Kibaya(kiteto)-Kondoa-Babati-Arusha japo ni route ndefu unnecessarily.
 
Mwaka Jana nilikuwa naenda Arusha nilipanda bas la Osaka kutoka dsm

Tulipofika maeneo ya korogwe Kijiji Cha mkambarani walipanda wadada 2 warembo balaa mmoja alikuja kukaa siti ya pemben yangu tulipofika same bas lilisimamishwa na na msako mkali ukafanyika yule dada nikiyekaa naye alidakwa na misokoto kadhaa ya bangi

Askar huwa na informers wao mara nyingi



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka Jana nilikuwa naenda Arusha nilipanda bas la Osaka kutoka dsm

Tulipofika maeneo ya korogwe Kijiji Cha mkambarani walipanda wadada 2 warembo balaa mmoja alikuja kukaa siti ya pemben yangu tulipofika same bas lilisimamishwa na na msako mkali ukafanyika yule dada nikiyekaa naye alidakwa na misokoto kadhaa ya bangi

Askar huwa na informers wao mara nyingi



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wanachomana hao na wala hafungwi mtu ni mgao tu wanaendelea na mzigo wao kwa wateja

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Mwaka Jana nilikuwa naenda Arusha nilipanda bas la Osaka kutoka dsm

Tulipofika maeneo ya korogwe Kijiji Cha mkambarani walipanda wadada 2 warembo balaa mmoja alikuja kukaa siti ya pemben yangu tulipofika same bas lilisimamishwa na na msako mkali ukafanyika yule dada nikiyekaa naye alidakwa na misokoto kadhaa ya bangi

Askar huwa na informers wao mara nyingi



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sometimes sio informers ni namna ya kujua uhalifu unavhofanyika.
 
Back
Top Bottom