Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
We unasema kweli😮Manzese inapendeza
Kwa mtu mweusi iyo ni ngumu.Ifike mahala tupange bidhaa kwa utaratibu maalum kwenye maeneo maalum, sio kwenye njia za waenda kwa miguu.
Hatuwezi kuwa jiji lisilokua na mpangilio litakua kijiji lazima tupange mji uonekane.kwenye simu unaweka tozo za kufa mtu
mtaani unawafukuza vijana wasipate riziki
Hivi hii serikali inafikiria mara mbilimbili maamuzi yake?
[emoji38][emoji38][emoji38]
Waliwapa muda wa kuondoka kiungwana umekwisha huku biashara zikiendelea kama kawa! Sasa siki 12 za kuondolewa, si kuondoka!!Mbona RC ameongeza muda kwa siku 12 mbele , mashambulizi ya Polisi na wamachinga Msimbazi ni ya nini , kwanini zisisubiriwe hizo siku 12 ?
Hata huko unapoona nchi zilizoendelea za ulaya hao wanaofanya biashara mitaani wapo hila wanapangwa wasibughudhi wengine sio kisingizio cha ajira mpk mzibe njia za watembea kwa miguu mtu inabidi apite barabarani kupishana na magari njia ya kutembelea imejengwa mabandaMachinga ni matokeo ya kushindwa kwa sera za ccm kuhusu ajira na uchumi
Ushaenda masokoni kuulizia nafasi ukaambiwa hakuna?makumbusho watu wanapangwa ndani ya soko niliona mwenyewe wanapimiwa unaambiwa tu ukubwa wa meza ya kupanga inimladi usije na banda lakoWewe unayajua maeneo ambayo wamachinga wametengewa?
Unaweza kuyataja?
Yaani we ndio mimi. Kila nikiwaza kwenda Kariakoo, hao jamaa wananikatishaga tamaa inaweza pita mwaka sijaenda.Inafikia wakati mtu unajishauri kwenda kariakoo hii haiwezekani. Halafu hawa wafanyabiashara wadogo wadogo wengi hawalipi kodi.
Watanyooka tuu, kiongozi gani Tzn hapa anafurahia wamachinga kujifanya watawala na spesho nchi hii?
Wajiunge watu watano,wanafunguwa Frem,wanalipa kwa kuchanga.Kwa mfano Frem ni laki 5,wawe wanachsnga laki laki.unazungumzia wale wanaopanga nyanya zao pale chini kuuza?
Mtaji wa milioni 5, unaweza kuulipia fremu ya laki tano kwa mwezi?
Anaongea ujinga uyo anajua kila mmachinga Ana msingi mkubwaunazungumzia wale wanaopanga nyanya zao pale chini kuuza?
Mtaji wa milioni 5, unaweza kuulipia fremu ya laki tano kwa mwezi?
Karate vs risasi na mabomu kipi zaidiMachinga wote wakijifunza karate police watapata tabu Sana.