Kitendo cha kujigawa wa makundi mawili, moja linalotetea wamachinga na kutaka wabakie katika maeneo wanayofanya biashara sasa, na kundi la pili la wengine kutaka wamachinga wahamishe ni ishara kwamba hata kuwagawa wa Tanzania kwa fikra za uchumi itakuiwa rahisi sana.
Tujiulize, hao wamachinga wanapilichafua jiji, taifa linapata hasara gani,m kisha tujiulize hao wamachinga wakipelekwa wasipo pataka na taifa litapata faida gani ?
Je wafanya biashara walipoingiliwa na wamachinga , walipata hasara, tuseme kweli walipata hasara, je nani sasa wa kuja kuleta maridhiano kati ya wafanya biashara wenye maduka na wamachinga ?