Polisi walikurupuka kumtengua RPC Dodoma

Polisi walikurupuka kumtengua RPC Dodoma

Nilikuwa sijasikiliza audio husika! Kwa sasa naamini ni kweli mabosi zake wamemuonea japo adhabu aliyopewa ni kama mchezaji aliyewekwa benchi huku mshahara ukiendelea kuingia kama kawaida. Hiyo barua ya kuhamishwa kituo Cha kazi imenukuu maneno sahihi ambayo watu wameamua kuyapa tafsiri mbaya ili ionekane RPC kakosea na saa nyingine ni ujanja wa kuwaaminisha raia kuwa polisi wapo makini na kesi husika kumbe Bado wanaendelea kimlinda afande aliyewatuma wabakaji.

Kama kweli polisi wapo siriasi na kesi hii na wamkamate afande aliyetuma watu wakafanye ulawiti na ubakaji.
Those may be arrangee. Mipango hiyo mbona aliyetuma watu hatajwi wala hawaja mkamata
 
Kwani yule dada aliyefanyiwa ukatili tunapomsemea unadhani yeye hana uwezo wala kifaa cha kuandikia na kujisemea mwenyewe ?

Mbona watu wa ngorongoro tunawasemea ?

Mnaamua ni wepi wa kuwasemea ?
Yule binti mmemshikilia kizuizini unategemea ataandikaje?
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!.
sijaona maneno ya hovyo katika maneno ya huyu mama.
Hiyo clip inayosemwa ni ya mwanzo mbina hatuioni.

Ila katika hii ishu ndo unajua watz walivyokuwa watu wa hisia.

Na mtz hisia zikitangulia basi ufahamu wake unaondoka kabisa
 
Baada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.

Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo?

Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao?

Je, kama wanashindwa kufuata utaratibu sahihi katika kuwawajibisha wenzao unadhani WATAWEZA KUFUATA UTARATIBU SAHIHI KATIKA KUWAWAJIBISHA RAIA?

Pia, soma:
Raia tunafurahia RPC kutenguliwa je hatujui kama uamuzi huo wa polisi unaweza kutuathiri hata sisi kwa maana ulikuwa uamuzi wa kihisia na sio uamuzi wa kimantiki

MAgazeti tunayajua namna ambavyo ni hodari kwa kunukuu maneno wanayoyaona yatavutia biashara yao.

Je, polisi wana uhakika gani kama yale maneno yule RPC kayasema?

Hatujaona media yoyote ikiripoti na kuweka sauti ya yule mama RPC akiyazungumzwa yale yanayodaiwa.

POlisi wanapokanusha kwamba kauli hiyo sio ya jwshi la polisi kwani wapi huyo RPC kaisema kauli hiyo.

Kama waandishi ni waadilifu mbona hawajachapisha maneno ya RPC tuliyoyasikia wemyewe akisema kwamba HATA KAMA NI INASEMWA NI MALAYA HAKUSTAHIKI KUFANYIWA HIVYO?

Kama polisi wanashindwa kuwa na weledi baina yao,unadhani watakuwa na weledi kwa wananchi ?

Huyu mama anaonewa bure.
KAMA WANAVYOONEWA WANANCHI WENGINE WATEKWAJI, WA NGORONGORO NA WENGINE
 
China huyo RPC angeliwa kichwa si bora huku wamesema akalie benchi tu..
 
China huyo RPC angeliwa kichwa si bora huku wamesema akalie benchi tu..
Huyo mama wa kichaga wamemtengenezea zengwe tu lakini hatujaona kosa lake, tungewaona wa maana sana kama wangemkamata afande anayemiliki genge linalobaka na kulawiti. Kudeal na huyo RPC ni kututoa kwenye reli badala ya kumfatilia afande aliyetuma wahuni wakafanye ubakaji na ulawiti tuanze kumjadili aliyesema kwamba : "HATA KAMA HUYO ALIYEBAKWA ANGEKUWA MALAYA ISINGEFAA KUFANYIWA UKATILI ALIOFANYIWA" Sasa huyu RPC na huyo aliyetuma genge la ubakaji nani kafanya kosa kubwa?! Sasa kwanini aachwe aliyefanya kosa kubwa badala yake awajibishwe mtu ambaye ulimi wake umeteleza tu?!
 
Huyo mama wa kichaga wamemtengenezea zengwe tu lakini hatujaona kosa lake, tungewaona wa maana sana kama wangemkamata afande anayemiliki genge linalobaka na kulawiti. Kudeal na huyo RPC ni kututoa kwenye reli badala ya kumfatilia afande aliyetuma wahuni wakafanye ubakaji na ulawiti tuanze kumjadili aliyesema kwamba : "HATA KAMA HUYO ALIYEBAKWA ANGEKUWA MALAYA ISINGEFAA KUFANYIWA UKATILI ALIOFANYIWA" Sasa huyu RPC na huyo aliyetuma genge la ubakaji nani kafanya kosa kubwa?! Sasa kwanini aachwe aliyefanya kosa kubwa badala yake awajibishwe mtu ambaye ulimi wake umeteleza tu?!
Kwani huyo Mama sura ngumu aliewatuma ajakamatwa maana huyo ndio mtuhumiwa namba moja pamoja na huyu aliekumbatia faili ili wasipelekwe mahakamani..
 
Ni
Baada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.

Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo?

Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao?

Je, kama wanashindwa kufuata utaratibu sahihi katika kuwawajibisha wenzao unadhani WATAWEZA KUFUATA UTARATIBU SAHIHI KATIKA KUWAWAJIBISHA RAIA?

Pia, soma:
Raia tunafurahia RPC kutenguliwa je hatujui kama uamuzi huo wa polisi unaweza kutuathiri hata sisi kwa maana ulikuwa uamuzi wa kihisia na sio uamuzi wa kimantiki

MAgazeti tunayajua namna ambavyo ni hodari kwa kunukuu maneno wanayoyaona yatavutia biashara yao.

Je, polisi wana uhakika gani kama yale maneno yule RPC kayasema?

Hatujaona media yoyote ikiripoti na kuweka sauti ya yule mama RPC akiyazungumzwa yale yanayodaiwa.

POlisi wanapokanusha kwamba kauli hiyo sio ya jwshi la polisi kwani wapi huyo RPC kaisema kauli hiyo.

Kama waandishi ni waadilifu mbona hawajachapisha maneno ya RPC tuliyoyasikia wemyewe akisema kwamba HATA KAMA NI INASEMWA NI MALAYA HAKUSTAHIKI KUFANYIWA HIVYO?

Kama polisi wanashindwa kuwa na weledi baina yao,unadhani watakuwa na weledi kwa wananchi ?

Huyu mama anaonewa bure.
Ni lini walifuata taratibu kuwawajibisha raia?
Ebu tembelea familia ya yule kijana mchimba madini kutokea LINDI aliyeuliwa na hao polisi kule MTWARA kama umesahau au hujui kuhusu wale wafanya biashara wa madini ndugu wale kutoka MAHENGE.
 
Kwa kufuatilia clips mbalimbali za huyu RPC UTube nk nimegundua kwanza huyu mama alikuwa karibu na jamii sana na mara kadhaa namsikia akipenda kunukuu maandishi ya kwenye biblia kukemea rushwa na mambo mengine ambayo yapo kinyume na maadili kama vile ushoga , usagaji nk.
Hayo maneno anayotuhumiwa kama alisema Mimi naamini ulimi uliteleza tu lakini mama huyu ametulia sana japo kazini pia hapakosi FITINA.
 

Attachments

  • 1724244826981.jpg
    1724244826981.jpg
    326.3 KB · Views: 2
Kama amesema ni kahaba ni sawa, ni kama ambavyo angekuwa kama vile ambavyo angekuwa fundi cherehani au mama ntilie pia angesema. Pia alisema wale watu ni wavuta bangi pia ni kweli Kwa sababu hata sisi tuliona wanavuta bangi..In this case amenyoosha maelezo...Kama huna mihemko utamuelewa huyu mama
 
Baada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.

Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo?

Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao?

Je, kama wanashindwa kufuata utaratibu sahihi katika kuwawajibisha wenzao unadhani WATAWEZA KUFUATA UTARATIBU SAHIHI KATIKA KUWAWAJIBISHA RAIA?

Pia, soma:
Raia tunafurahia RPC kutenguliwa je hatujui kama uamuzi huo wa polisi unaweza kutuathiri hata sisi kwa maana ulikuwa uamuzi wa kihisia na sio uamuzi wa kimantiki

MAgazeti tunayajua namna ambavyo ni hodari kwa kunukuu maneno wanayoyaona yatavutia biashara yao.

Je, polisi wana uhakika gani kama yale maneno yule RPC kayasema?

Hatujaona media yoyote ikiripoti na kuweka sauti ya yule mama RPC akiyazungumzwa yale yanayodaiwa.

POlisi wanapokanusha kwamba kauli hiyo sio ya jwshi la polisi kwani wapi huyo RPC kaisema kauli hiyo.

Kama waandishi ni waadilifu mbona hawajachapisha maneno ya RPC tuliyoyasikia wemyewe akisema kwamba HATA KAMA NI INASEMWA NI MALAYA HAKUSTAHIKI KUFANYIWA HIVYO?

Kama polisi wanashindwa kuwa na weledi baina yao,unadhani watakuwa na weledi kwa wananchi ?

Huyu mama anaonewa bure.
Karudishwa Mako Makuu, siku hizi ni hapo hapo Dodoma kupisha uchunguzi.

Huwezi kuchunguza tuhuma nzito namna hiyo wakati akiwa kwenye kiti chake cha u RPC.
 
Karudishwa Mako Makuu, siku hizi ni hapo hapo Dodoma kupisha uchunguzi.

Huwezi kuchunguza tuhuma nzito namna hiyo wakati akiwa kwenye kiti chake cha u RPC.
Mimi nadhani kumchunguza huyo afande anayetuhumiwa kumiliki genge la wabakaji ilikuwa muhimu kuliko kumchunguza huyu aliyesema maneno sahihi ila watu wakaamua kuyapa tafsiri mbaya. RPC hakusema kwamba dada ALIYEBAKWA ni kahaba au anajiuza ila kasema hata ingekuwa kahaba isingefaa kufanyiwa huo unyama aliofanyiwa.
 
Yule Mama Theopista Mallya ni Decent Sana aisee sidhani kama anatumika au aliongea vile kwa nia mbaya. Dooh!
 
Nawewe endelea kunywa biazao hapo domtown kama hongo

Usije baadae ukalaumu
 
Back
Top Bottom