Polisi walikurupuka kumtengua RPC Dodoma

Polisi walikurupuka kumtengua RPC Dodoma

Polisi hawana mamlaka ya kumuwajibisha raia yoyote, hiyo ni kazi ya Mahakama. Wao ni kusimamia sheria tu sio kingine
 
Anyway it's all good.

The Legacccyyyy 😊💥
Huenda mama alikua ameghafirikapia ndio akazungumza vile.

Ujue inafikirisha kiasi kwa Mtu mzima kusema vile.
Kuna pombe hapo ukute inahusika maana alipigiwa weekend.
Kuna mengi ya kuwaza aisee
 
Baada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.

Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo?

Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao?

Je, kama wanashindwa kufuata utaratibu sahihi katika kuwawajibisha wenzao unadhani WATAWEZA KUFUATA UTARATIBU SAHIHI KATIKA KUWAWAJIBISHA RAIA?

Pia, soma:
Raia tunafurahia RPC kutenguliwa je hatujui kama uamuzi huo wa polisi unaweza kutuathiri hata sisi kwa maana ulikuwa uamuzi wa kihisia na sio uamuzi wa kimantiki

MAgazeti tunayajua namna ambavyo ni hodari kwa kunukuu maneno wanayoyaona yatavutia biashara yao.

Je, polisi wana uhakika gani kama yale maneno yule RPC kayasema?

Hatujaona media yoyote ikiripoti na kuweka sauti ya yule mama RPC akiyazungumzwa yale yanayodaiwa.

POlisi wanapokanusha kwamba kauli hiyo sio ya jwshi la polisi kwani wapi huyo RPC kaisema kauli hiyo.

Kama waandishi ni waadilifu mbona hawajachapisha maneno ya RPC tuliyoyasikia wemyewe akisema kwamba HATA KAMA NI INASEMWA NI MALAYA HAKUSTAHIKI KUFANYIWA HIVYO?

Kama polisi wanashindwa kuwa na weledi baina yao,unadhani watakuwa na weledi kwa wananchi ?

Huyu mama anaonewa bure.
Unalaumu uamuzi wa Jeshi la Polisi huku hujui kama walisikilizishwa sauti au lah. Kwanini unalaumu huku ikiwa hujui? Yaani huna taarifa ya kile unacholalamikia hapa.

Majeshi huwa mahiri sana kwenye kupanda vyeo na nyadhifa kwa miaka yote, wanaweza kushindwa mengine lakini siyo kwenye vyeo na wadhifa.

Hivyo, walifanya maamuzi baada ya kusikiliza mahojiano. Pamoja na mhusika kukiri kufanya mahojiano hayo. Hata mwenyewe atashangaa kwa wewe kulalamika.

Ama ni lazima tu kulalamikia jambo ili kutrend? Kuna gazeti linaloweza kuwa na taarifa za kumnukuu uongo RPC? Kwa kutumia tu akili ya kawaida hilo haliwezekani.

Ova
 
Baada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.

Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo?

Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao?

Je, kama wanashindwa kufuata utaratibu sahihi katika kuwawajibisha wenzao unadhani WATAWEZA KUFUATA UTARATIBU SAHIHI KATIKA KUWAWAJIBISHA RAIA?

Pia, soma:
Raia tunafurahia RPC kutenguliwa je hatujui kama uamuzi huo wa polisi unaweza kutuathiri hata sisi kwa maana ulikuwa uamuzi wa kihisia na sio uamuzi wa kimantiki

MAgazeti tunayajua namna ambavyo ni hodari kwa kunukuu maneno wanayoyaona yatavutia biashara yao.

Je, polisi wana uhakika gani kama yale maneno yule RPC kayasema?

Hatujaona media yoyote ikiripoti na kuweka sauti ya yule mama RPC akiyazungumzwa yale yanayodaiwa.

POlisi wanapokanusha kwamba kauli hiyo sio ya jwshi la polisi kwani wapi huyo RPC kaisema kauli hiyo.

Kama waandishi ni waadilifu mbona hawajachapisha maneno ya RPC tuliyoyasikia wemyewe akisema kwamba HATA KAMA NI INASEMWA NI MALAYA HAKUSTAHIKI KUFANYIWA HIVYO?

Kama polisi wanashindwa kuwa na weledi baina yao,unadhani watakuwa na weledi kwa wananchi ?

Huyu mama anaonewa bure.
Polisi hawajakurupuka; aliyetenguliwa amejichanganya mwenyewe

Hii issue imekaa tenge na hivyo ilitakiwa yeye baada ya kuiona kama alivyoona, asingeibuka kutoa maneno kwenye public; alitakiwa awatonye tu mabosi wake halafu yeye anakaa kimya; wao sasa ndiyo wangejua nini cha kufanya kwa sababu inavyoelekea alichokisema kiko sahihi kwa sababu hata mimi mwenyewe nimekiona hivyo; ila hakutakiwa kukitoa public

Hii issue imekaa tenge sana kwa sababu ikishakwuwa picked tu na UBALOZI WA DUNIA halafu wakatoa press release; tayari inakuwa ni global na si local tena; kitu ambacho kingewapa kazi kubwa sana mabosi wake kuweza kuki-settke. Ndiyo maana mabosi walichangamka haraka sana
 
wewe unaweza kuchunguza Kuliko IGP?ukiona hivyo IGP aliomba mahojiano yote sababu chombo cha habari kiliweka rekodi ya mahojiano.

Bila hivyo ungesikia mwandishi wa habari yuko polisi kwa uchochezi
.
Uko sahihi kabisa; huyu mtu hawezi kukurupuka; he is very close to Mama; almost 3rd to Mama kwenye hierarchy ya nchi kijeshi; Mama first; CDF second; IGP third
 
Back
Top Bottom