Polisi walikuwa wapi uwanja wa Taifa mpaka mashabiki wanaingia uwanjani na kung'oa nyasi bandia?

Wangewazuia kung'oa nyasi, wangeng'oa viti. Huwajui hawa mikia wewe!!
 
Wao mashabiki wa simba walishawahi kung'oa viti kwahyo vurugu ni kawaida yao
 
Hao waliongia dimbani ni wadogo mithili ya sindano kiasi kwamba hawaonekani? Hata kama hajafika lakini anaufahamu kupitia luningani.
Uharibifu haukubariki kwa visingizio vyovyote.
 
Hao waliongia dimbani ni wadogo mithili ya sindano kiasi kwamba hawaonekani? Hata kama hajafika lakini anaufahamu kupitia luningani.
Uharibifu haukubariki kwa visingizio vyovyote.
Me sijakubali uharibifu uliotokea, nachosema ni kwamba ule uwanja kwanza ni mkubwa, pili askari ni wachache, tatu ile ilitokea ni emergency, we fikilia umeme umekatika, mvua inanyesha na namba ya askari ni ndogo ulitegemea wadhibiti vipi hao watu kwenye giza?
 
Kwa mazingira hayo ya emergence ndiyo umakini huongezeka. Kwa mtu makini katika intelligence hapo hakupi excuse.
 
Kwa mazingira hayo ya emergence ndiyo umakini huongezeka. Kwa mtu makini katika intelligence hapo hakupi excuse.
Sio kweli mkuu, sema tu tatizo lishatokea na hakuna ambacho kinaweza kufanywa kuepusha hili, angalau kwa sekunde mbili amua kusema ukweli na sio kufata hisia, kama ingekuwa ni jambo la mara kwa mara sawa wangekuwa makini zaidi

Mvua inanyesha na umeme hakuna obviously lazima askari walikuwa karibu na wachezaji pamoja na makocha kuwasindikiza katika vyumba vya kubadilishia nguo, sasa unazani walibaki askari wangapi ambao wangeweza kuzingira angle zote za uwanja kuzuia watu wasiingie uwanjani?
 
Uwanja wa Taifa una nyasi bandia? Sijawahi kujua hilo. Najua nyasi bandia zipo "shamba la bibi"
 
Sio hoja hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…