Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
CCM ing'olewe hakuna ubishi na hili hawa jamaa hawana faida hata chembe ,ile chembe ya faida hawana ,ndio maana juzi wamepewa kisago na wananchi wenye Uchungu na nchi yao pale Malawi ,wamekaa kimya ,hakuna anefurukuta si Waziri wa Ulinzi,Si Waziri Mkuu ,si Said Mwema si Raisi ,watu hawa wanne wanashindwa nini kuitisha uchunguzi wa ndani ya nchi na kuchunguza madai yaliojiri ? Nini kinawashinda ?
Waziri wa Ulinzi hatujamsikia kusema kitu yaani inawezekana hata habari hana na imechukuliwa kama ni jambo jepesi.Jambo ambalo linaweza likazusha mtafaruku kwa uzembe wa polisi wala rushwa ,bado waziri amekaa kimya ,baba yke yupo atamlinda au sivyo ?
Kuvuka mpaka na kuingia na uniform za Jeshi la Polisi katika Nchi nyengine sio mchezo si jambo la kusema tu ,wameshafahamiana ni kitu hatari kabisa ,Utawala wa CCM tulionao unatwambiaje WATANZANIA ? Kuhusu hili
tumevamia nchi ya watu au sivyo?
Wananchi wa Malawi wamewakamata wavamizi na kuwapa kibano kitakatifu na bunduki wamepokonywa ,Mkuu wa Jeshi la Polisi unatwambiaje kuhusu hili ? Na zaidi kuhatarisha amani ya nchi ,just Malawi kama angetaka kupakazia angesema majeshi ya Tanzania yamevamia Malawi na kuibua kwenye TV na kila kona ya dunia ,wangeliwabambikizia uwongo tu kama wao wanavyobambikizia watu mngesemaje ?
Ila hii ndio utawala wa CCM wa kulindana yaani sasa hivi Serikali ya CCM inasubiri watu wapige makelele ndio utaona wanakurupuka ,uongozi gani huu ?
Polisi waliovuka mpaka na kuingia Malawi na uniform za Jeshi wana kesi ya kujibu ,yaani hata kwenye mahakama za kijeshi ndio huko huko wakahojiwe na kiini kijulikane ,haya wamekaa kimya gazeti linaandika WaMalawi wafichua siri , hii kama si aibu ni kitu gani ? Wananchi tunahitaji maelezo.
Waziri wa Ulinzi hatujamsikia kusema kitu yaani inawezekana hata habari hana na imechukuliwa kama ni jambo jepesi.Jambo ambalo linaweza likazusha mtafaruku kwa uzembe wa polisi wala rushwa ,bado waziri amekaa kimya ,baba yke yupo atamlinda au sivyo ?
Kuvuka mpaka na kuingia na uniform za Jeshi la Polisi katika Nchi nyengine sio mchezo si jambo la kusema tu ,wameshafahamiana ni kitu hatari kabisa ,Utawala wa CCM tulionao unatwambiaje WATANZANIA ? Kuhusu hili
tumevamia nchi ya watu au sivyo?
Wananchi wa Malawi wamewakamata wavamizi na kuwapa kibano kitakatifu na bunduki wamepokonywa ,Mkuu wa Jeshi la Polisi unatwambiaje kuhusu hili ? Na zaidi kuhatarisha amani ya nchi ,just Malawi kama angetaka kupakazia angesema majeshi ya Tanzania yamevamia Malawi na kuibua kwenye TV na kila kona ya dunia ,wangeliwabambikizia uwongo tu kama wao wanavyobambikizia watu mngesemaje ?
Ila hii ndio utawala wa CCM wa kulindana yaani sasa hivi Serikali ya CCM inasubiri watu wapige makelele ndio utaona wanakurupuka ,uongozi gani huu ?
Polisi waliovuka mpaka na kuingia Malawi na uniform za Jeshi wana kesi ya kujibu ,yaani hata kwenye mahakama za kijeshi ndio huko huko wakahojiwe na kiini kijulikane ,haya wamekaa kimya gazeti linaandika WaMalawi wafichua siri , hii kama si aibu ni kitu gani ? Wananchi tunahitaji maelezo.