Naombeni msaada wa kisheria juu ya hili.
Ndugu yangu kafungiwa account yake ya bank kwa amri ya polisi. Kisa katuhumiwa kuiba hela katika kampuni anayofanya kazi.
Je kisheria polisi wana mamlaka hayo ya kumfungia mtu bank account na kushikilia mali zake kisa tu katuhumiwa kuibia kampuni hela??
Ndugu yangu kafungiwa account yake ya bank kwa amri ya polisi. Kisa katuhumiwa kuiba hela katika kampuni anayofanya kazi.
Je kisheria polisi wana mamlaka hayo ya kumfungia mtu bank account na kushikilia mali zake kisa tu katuhumiwa kuibia kampuni hela??