Polisi wamezichukua simu za Faiza Ally kwa uchunguzi

Sugu angekuwa na akili timamu huu muda ulikuwa ndio wa kuchukua mtoto wake kutoka kwa huyu kichaa.... kuna ushahidi mwingi wa kuthibitisha huyu kichaa hana uwezo wa kumlea mtoto
Sugu anahusika vipi?
 
Halafu anasema mama yake ndio anampiga picha nikajua kwamba mama yake na yeye wote ni malaya wa manzese ndio maana sugu alimshiti pambafu zake
Bora hata angeomba radhi angalau tungemwona bwege kuliko sasa hv tunamwona makalio
 
Ukisikia hizi hustle za polisi na hawa wapuuzi utadhani idadi ya polisi inatosheleza kumbe wanaamua tu kukomaa na wendawazimu ambao hawana umuhimu wowote,sasa uyo mwehu ka-post upuuzi wake uko polisi wako busy nae watawakamata wangapi sasa maana huo mtandao kila leo ndio shughuli zao hawa polisi tukiwaita uku mtaani watulinde walipa kodi na hawa washika bunduki utasikia wako busy na kazi nyingine.
 
Sugu angekuwa na akili timamu huu muda ulikuwa ndio wa kuchukua mtoto wake kutoka kwa huyu kichaa.... kuna ushahidi mwingi wa kuthibitisha huyu kichaa hana uwezo wa kumlea mtoto
Ana muda wa kulea sasa?? Hana mapenzi na mtoto na hana mke mtoto akalelewe na kimada???
Faiza mshenzi ila alee tu mtoto wake mama haui mwana
 
Mwanamke anajifungua ndo picha mbaya? Hahaha polisi bongo endeleeni kufuatilia mambo yasiyo ya msingi huku majambazi wanakula bata. Priority zinatisha aisee. Nimejua kwa nini ni wa mwisho duniani
 
Upotevu wa muda na resources wa polisi wetu, naandaa malalamiko kwa fatiki ya kipuuzi kama hii..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…