Elections 2010 Polisi wamwagwa Dar

Elections 2010 Polisi wamwagwa Dar

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Hivi uchaguzi ni ugomvi?? Habari nilizozipata sasa hivi ni kwamba, askari polisi kibao wameingizwa Dar na wamepelekwa Kurasini, kisa eti kuna vurugu!!! Hii wadau imekaaje? Source: a very close friend of mine na ambaye ni mmoja wa askari waliopo kurasini, najaribu kumtafuta askari mwingine kutoka kambi ya Kange- Tanga
 
Back
Top Bottom