Hivi uchaguzi ni ugomvi?? Habari nilizozipata sasa hivi ni kwamba, askari polisi kibao wameingizwa Dar na wamepelekwa Kurasini, kisa eti kuna vurugu!!! Hii wadau imekaaje? Source: a very close friend of mine na ambaye ni mmoja wa askari waliopo kurasini, najaribu kumtafuta askari mwingine kutoka kambi ya Kange- Tanga