Kesi ya Lissu itaigia kwenye historia kwa polisi kwenda mahakama kuu kupinga dhamana ya mtu aliyeshitakiwa na jamuhuri. Kwa mjibu wa Uhuru la jana na Tanzania Daima la leo polisi wanajiandaa kurudi mahakamani kesho kupinga dhamana iliyotolewa na mahakama ya Kisutu.
Hapa napata maswali kadhaa:-
Hivi iliwahi kutokea polisi kukata rufaa ya dhamana ya mtuhumiwa yoyote?
Kama hapana kwa nini itokee kwa Lissu?
Ni kwa nia nzuri? Au baada ya kuzomewa kila sehemu baada ya kuaibishwa na nguri wa sheria Tanzania?
Wana uhakika gani kama hawaangukii pua na kupata aibu zaidi? Kama hoja yao kuu ilikuwa kwamba akiachiwa kwa dhamana atafanya kosa lingine kama hilo na mpaka sasa hajalifanya sasa wataenda na hoja ipi?
Hapa napata maswali kadhaa:-
Hivi iliwahi kutokea polisi kukata rufaa ya dhamana ya mtuhumiwa yoyote?
Kama hapana kwa nini itokee kwa Lissu?
Ni kwa nia nzuri? Au baada ya kuzomewa kila sehemu baada ya kuaibishwa na nguri wa sheria Tanzania?
Wana uhakika gani kama hawaangukii pua na kupata aibu zaidi? Kama hoja yao kuu ilikuwa kwamba akiachiwa kwa dhamana atafanya kosa lingine kama hilo na mpaka sasa hajalifanya sasa wataenda na hoja ipi?