Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Habari Wakuu,
Kumekuwa na taratibu ya mitaa mbalimbali hasa uswahilini viongozi wanaweka utaratibu wa kuweka Sungusungu kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwa utaratibu wa kila nyumba kuchagia kuwalipa mwisho wa mwezi.
Kukiwa kama nyumba ina wapangaji kadhaabasi kila mpangaji atapaswa kuchangia kiasi kwa ajili ya sungusungu.
Licha ya raia kulazimishwa kwa nguvu na changamoto za sungusungu naomba kujuzwa utaratibu wa mambo machache.
Sungusungu wanaruhusiwa kikanuni?
Kama wanaruhusiwa, ni nani anapaswa kuwalipa? kwa taratibu gani
Kama hawaruhusiwi Wananchi wanapaswa kutoa taarifa kwa nani? Au wafanye nini kuondokana na adha hii?
Nawasilisha
Kumekuwa na taratibu ya mitaa mbalimbali hasa uswahilini viongozi wanaweka utaratibu wa kuweka Sungusungu kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwa utaratibu wa kila nyumba kuchagia kuwalipa mwisho wa mwezi.
Kukiwa kama nyumba ina wapangaji kadhaabasi kila mpangaji atapaswa kuchangia kiasi kwa ajili ya sungusungu.
Licha ya raia kulazimishwa kwa nguvu na changamoto za sungusungu naomba kujuzwa utaratibu wa mambo machache.
Sungusungu wanaruhusiwa kikanuni?
Kama wanaruhusiwa, ni nani anapaswa kuwalipa? kwa taratibu gani
Kama hawaruhusiwi Wananchi wanapaswa kutoa taarifa kwa nani? Au wafanye nini kuondokana na adha hii?
Nawasilisha