Siwatetei polisi, najua kuwa wakati mwingine huwa wanawatishia wananchi, na wanawabana wananchi wawape hongo. Ninachotaka kusema ni kuwa hawa polisi wana mishahara isiyoridhisa na general working condition zao siyo nzuri. Tujiulize kwa nini tumewapa madaraka makubwa watu ambao wana kipato kidogo? Lazima tu watayatumia vibaya madaraka yao.
Of course mabosi wao wanapenda rushwa kwa sababu ya uroho wa pesa tu.
Pamoja na kukemea tabia zao zisizoridhisha mapato yao na hali ya kufanya kazi kwao kuangaliwe, vinginevyo tutalea jeshi lapolisi lenye hasira na wananch.