Tanzania 1
Senior Member
- Oct 4, 2007
- 197
- 25
Matapeli wengi wamekuwa "wakiwazukia" wananchi kwa kudai kuwa ni askari kanzu na kuwa wana mashaka na mtu/watu "waliowazukia". Lengo lao hasa ni kumtia mshikemshike "mtuhumiwa" wao ili waweze kumchomoa pesa kwa madai ya kuizima "tuhuma" kwa kutoifikisha mbele.
Hili limekuwepo miaka nenda, miaka rudi. Swali: Kwanini Polisi hawatoi tamko la kuwaasa wananchi kutokubali kuhojiwa na yeyote anayedai kuwa ni askari kabla ya "askari" huyo kuonesha kitambulisho?
Wadau wanasheria nakuombeni mtuelimishe zaidi khs sheria za Tz zinazohusiana na suala hili.
Hili limekuwepo miaka nenda, miaka rudi. Swali: Kwanini Polisi hawatoi tamko la kuwaasa wananchi kutokubali kuhojiwa na yeyote anayedai kuwa ni askari kabla ya "askari" huyo kuonesha kitambulisho?
Wadau wanasheria nakuombeni mtuelimishe zaidi khs sheria za Tz zinazohusiana na suala hili.