robbyr
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 129
- 221
Nalipongeza jeshi la polisi kwa kazi nzuri ambayo wameendelea kufanya kwenye taifa hili.
Ila lengo la andiko hili ni kusema kuwa polisi wanapresha ambayo inasababishwa na wao kutuhumiwa katika maswala utekaji.
Rai yangu ni kwa polisi kuwa na utulivu katika utoaji wa taarifa ili kuepusha taharuki nasi kutoa taarifa ili waonekane wanawabijika ambapo baadae zinaleta mkanganyiko.
Jambo lingine, viongozi wa kisiasa punguzeni kuwapa presha polisi lazima tufahamu kuwa nchi inakuwa na wahalifu wanaongezeka hivyo linavyotokea swala la kupotea kwa mtu msiwe wepesi kunyoosha vidole kwa polisi naona hili linaondoa imani na linaweza kuja kuhatarisha usalama wa nchi
Kuendelea kuwanyooshea polisi mkono kunawezekana kukawapa nguvu wahalifu.
Wananchi tuendele kutambua kuwa
1. Kuna maadui kwenye siasa baina ya mtu na mtu
2. Kuna uadui kwenye mahusiano baina ya mtu na mtu
3. Kuna uadui kwenye biashara baina ya mtu mtu.
4.Kuna uadui wa mtu na utawala. Utawala usiopenda ukweli.
5.kuna uadui wa ndugu kwa ndugu.
6. Kuna uadui wa ndoa baina ya mke na mume.
Hivyo, kuendelea kulinda amani ya taifa ili tulisaidie jeshi la polisi nasi kuwanyooshea vidole zaidi.
Ila lengo la andiko hili ni kusema kuwa polisi wanapresha ambayo inasababishwa na wao kutuhumiwa katika maswala utekaji.
Rai yangu ni kwa polisi kuwa na utulivu katika utoaji wa taarifa ili kuepusha taharuki nasi kutoa taarifa ili waonekane wanawabijika ambapo baadae zinaleta mkanganyiko.
Jambo lingine, viongozi wa kisiasa punguzeni kuwapa presha polisi lazima tufahamu kuwa nchi inakuwa na wahalifu wanaongezeka hivyo linavyotokea swala la kupotea kwa mtu msiwe wepesi kunyoosha vidole kwa polisi naona hili linaondoa imani na linaweza kuja kuhatarisha usalama wa nchi
Kuendelea kuwanyooshea polisi mkono kunawezekana kukawapa nguvu wahalifu.
Wananchi tuendele kutambua kuwa
1. Kuna maadui kwenye siasa baina ya mtu na mtu
2. Kuna uadui kwenye mahusiano baina ya mtu na mtu
3. Kuna uadui kwenye biashara baina ya mtu mtu.
4.Kuna uadui wa mtu na utawala. Utawala usiopenda ukweli.
5.kuna uadui wa ndugu kwa ndugu.
6. Kuna uadui wa ndoa baina ya mke na mume.
Hivyo, kuendelea kulinda amani ya taifa ili tulisaidie jeshi la polisi nasi kuwanyooshea vidole zaidi.