Polisi Warejesha Operesheni Kibiti Kufuatia Yanayojiri Msumbiji

Wakati wa opresheni ya mwanzo ilisemekana waliuawa watu wengi wasiohusika na huo unaoitwa "ugaidi"
 
Hii Nayo Mpya, Una uhakika Wabongo "Jobless" Ndio Wanafanya Yayo uko Cabo-Delgado MOZAMBIQUE?? Possibly Maana Maisha Bongo Kwa Vijana Imekuwa Mtihani...
 
Labda ndo vijana wa kiislam ambao Hamza alikuwa analalamika kuwa polisi wanawafyekelea mbali.... Moto umeanza huko..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…