Polisi watangaza kuwakamata wahalifu 167 wa Panya Road wakiwemo wanaonunua mali za uhalifu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Polisi inawashikilia watuhumiwa hao wa uhalifu ambao wamekutwa na TV 23, Redio 2, kompyuta 2, spika 2 na silaha za jadi kadhaa zinazotumika kufanya uhalifu.

Pia magari matatu aina ya Toyota Carina na Toyota Noah mbili na pikipiki tano zimeshikiliwa zikidaiwa kutumika katika matukio ya kihalifu.

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, CP Awadhi Haji amesema miongoni mwa waliokamatwa wamekutwa na madawa ya kulevya aina ya Heroine gram 35, bangi kilo 63.6, mirungi kilo 9.3.






 
Kesho wewe au ndugu yako mtakuwa mistakenly killed, shabikia ujinga wa polisi
Kama wamekiri kufanya uhalifu na ushahidi umewaumbua na wamekiri kuwa ushahidi ulioletwa mbele yao ni wao then why not wasiwe expelled?
 
Naona wachanhiaji hamuwajuhi Polisi wa Tanzania nyie....
 
...Wamekamatwa na Vitu vyote hivyo? Mpaka Magari? Hao Sasa Sio 'Panya Buku'!!
Wamejiongeza...!
 
Kuwakamata ni kitu kingine na kuwachukulia hatua ni kitu kingine pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…