Polisi watangaza kuwakamata wahalifu 167 wa Panya Road wakiwemo wanaonunua mali za uhalifu

Polisi watangaza kuwakamata wahalifu 167 wa Panya Road wakiwemo wanaonunua mali za uhalifu

Wahakikishe wanafukua mpaka mizizi sio wakate Shina tu halafu baadae uchipue tena. JPM kipindi kile inshu ya Madawa ya kulevya aliorodheshewa ma drug dealer wote akaanza kushughulika nao
 
Kujua majina ni muhimu sana kwani ni kiashiria cha haki, la sivyo itaweka mashaka kwamba si kweli.
 
Kuna wanaouza vifaa vya magari vya wizi, hawa sasa ndio sababu ya kuzalisha panya road kwa sababu wananunua vitu wanavyoiba panya road,ukiwadhibiti hawa panya autmatic wataacha kuiba
 
Kesho wewe au ndugu yako mtakuwa mistakenly killed, shabikia ujinga wa polisi
Hao wote ni wanaume wa dar wanaokimbizwa na hivyo vitoto wakajifungia ndani na kuacha wake zao nje, ndio maana wanategemea polisi wakidhani ndio watawasaidia kumaliza tatizo lao linalotokana na wao wenyewe ambao ni wazazi wa vipanyaroad hivi!

Nashauri polisi kabla hawajavipiga risasi wawe wanavitia mbaroni viwapeleke kwa wazazi wao ili na wazazi wa vipanya hivi watwangwe risasi sambamba navyo!
 
Panya road imesababishwa na matumizi mabaya ya pesa za umma kwa viongozi wetu.pesa zetu wanazotukamua wanajinufaisha wao kujinunulia miv8 ya milioni 500 badala ya kuboresha kilimo ili hawa vijana wapate ajira.pesa ztu mnazotukamua tukizitumia vizuri zitasaidia kumaliza kabisa panya road tofauti na sasa mnavyowa uwa kwa makosa yaliyosababishawa na hawa watawala mafisadi yanaojijali menyewe tu na familia zao.Ila ipo siku mafisadi tutawanyoosha
 
Polisi inawashikilia watuhumiwa hao wa uhalifu ambao wamekutwa na TV 23, Redio 2, kompyuta 2, spika 2 na silaha za jadi kadhaa zinazotumika kufanya uhalifu.

Pia magari matatu aina ya Toyota Carina na Toyota Noah mbili na pikipiki tano zimeshikiliwa zikidaiwa kutumika katika matukio ya kihalifu.

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, CP Awadhi Haji amesema miongoni mwa waliokamatwa wamekutwa na madawa ya kulevya aina ya Heroine gram 35, bangi kilo 63.6, mirungi kilo 9.3.

Kwa ninavyomjua huyo kamanda Awadh Hajj, hao wahalifu kazi wanayo,

Huyo huwa anawaweka lockup Hadi Askari wazembe, kwa siku unakuta lockup ya central na osterbay Kuna Askari zaidi ya kumi wote wamewekwa lockup na yeye kwa utovu wa nidhamu
 
Safi sana ila msiwauwe ,wapigeni shaba za makalio tu washindwe kuzalisha hao fisi maji.
 
Back
Top Bottom