Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kijijini Mjesani, Muheza.
Mzee mmoja alipotea juzi Jumatatu, wanakijiij wakaanza kumsaka.
Leo mchana mwili wake umekutwa shambani, umeharibika sana na umeng'atwa na wanyama.
Wanakijiii wametoa taarifa kwa Polisi wilayani, askari wamejibu watakwenda kesho.
Mwili bado upo shambani.
Mzee mmoja alipotea juzi Jumatatu, wanakijiij wakaanza kumsaka.
Leo mchana mwili wake umekutwa shambani, umeharibika sana na umeng'atwa na wanyama.
Wanakijiii wametoa taarifa kwa Polisi wilayani, askari wamejibu watakwenda kesho.
Mwili bado upo shambani.