Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Wakulungwa hawataki hii ripoti
 
Achaneni na wake wa watu wenye pesa, la sivyo vifo vyenu vitasemekana

Alijinyonga
Aligongwa na Gari
Alidondoka Ghafla
Alidondokewa na Kitu,nk

Mtaondoka bila kujua mliondokaje,Pesa itabaki kuitwa Pesa

Ukiona unanyege pambana na wake za maskini achaneni kbs

na wake za watu wanaojiweza,shauri lenu,Mwenzenu ndio huyo "kashajinyonga"
 

Kama Mke wa Masanja ni Msukuma basi huyo ni mke wa wengi.​

 
Mwanamke/mke ukimsumbua sana kumtongoza na kama Ana mme!
Huwa anakutengenezea mtego akishirikiana na mme wake+wazee
Sasa kwanini mke wa mchungaji asingechukua hatua hiyo
Ni kama alikuwa anapenda

Ova
Kila mtu ana namna yake ya kutatua changamoto. Sasa mama mtumishi yeye kaona hiyo ya kutafuta mama anayeheshimika hapo kanisani amsaidie kufikisha ujumbe inafaa. hatuwezi kumlaumu mama mtumishi kwa hilo.
Inaelekea dogo hakuwa mzima kisaikologia na afya ya akili. Hata kama alikuwa mpenzi wake wa siku nyingi na bado alikuwa anaendelea kuibia ibia, alipaswa kujua kuwa sasa kaolewa tena na mkuu wake wa kiroho na akubali yaishe. Bila shaka watu kama hawa, ndio angepata mwanya angeweza hata kumuua huyu mama ili wakose wote.
 
Nitakuwa wa Mwisho kuamini kuwa Mtu anaweza kujinyonga kwa ajili ya Mke wa Mtu. Aiseee hapana, hiyo haiwezekani.

Kujinyonga kwa Mke wako naweza nikakubali, ila kwa mke wa mtu. Hiyo kwangu ni Big no
Nakazia hapa
 
Masanja ushamba ulizidi, watu tuna mademu wakali tumetulia tu, nani anamjua mke wa Mpoki au Jotti, watoto wa mjini marufuku kupost wake zao mitandaoni.
Uposti usi posti anaweza ibiwa vile vile sasa huyo katibu si kila siku alikua anamuona
 
Hujauelewa mchezo nadhani
 
Mbona mapema sana
 
Polisi wanasema marehem ndio alikua anaomba mahusiano ya kimapenzi (anamtongoza) lakin walimwengu wame conclude walikua wapenzi duh hatar kwa kujiongeza
Polisi na walimwengu wanaongea lugha moja, hujaielewa tu ile ya polisi
 
Mmetumwa ku-clear the air

Hawa walikuwa wapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…