Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Kamanda kasema kulikua na mawasiliano,ila hayo yaliyoko huko hayasemwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakulungwa hawataki hii ripoti'hataki uhusiano naye na asimtumie sms za mapenzi','marehemu alikuwa akiomba mahusiano ya kimapenzi','walienda nyumbani kwa marehemu kumueleza kuwa hataki meseji za aina hiyo na hataki uhusiano'.Kwa maelezo haya inaonyesha jamaa alikuwa anataka uhusiano wa kimapenzi na mke wa Masanja,sasa kwa mtiririko huu inaoyesha hawakuwa wapenzi,na huyu jamaa baada ya kuona amekataliwa akajua habari itamfikia mwenye mali hivyo akaamua kujinyonga,CASE CLOSED...
Acha kuhojiHuyo mama mtu mzima ni nani
Kupitia Clouds FM Polisi jijini DSM wamethibitisha kuwa katibu wa kanisa la Masanja amefariki kwa kujinyonga kwa uchunguzi wa awali.
Kamanda anasema ni kweli siku moja kabla ya kifo cha Katibu, mke wa Masanja alienda nyumbani kwa Katibu akiwa na mama mtu mzima kumwambia hataki uhusiano naye na asimtumie sms za mapenzi. Kamanda akaendelea kusema ni kweli kulikuwa na mawasiliano kati ya marehemu Katibu na mke wa Masanja.
Polisi wanasema kwa uchunguzi wa awali unaonyesha Katibu alijinyonga kwa sababu ya mapenzi lakini bado wanaendelea na uchunguzi.
========================
Polisi wamesema uchunguzi wa awali yanaonesha Joas Steven alipata mfadhiko na kujiua kwa kujinyonga.
Kamanda wa Polisi wa Kanda ya Maalum Dar es Salaam, Muliro Jumanne amesema pia mawasiliano kati ya marehemu na anayedaiwa kuwa ni mke wa Masanja (Emmanuel Mgaya) yalifanyika kwa simu.
Amesema “Mawasiliano yanaonesha marehemu alikuwa akiomba mahusiano ya kimapenzi, pia siku moja kabla ya tukio mke wa Masanja akiwa na mwanamke mwingine walienda nyumbani kwa marehemu kumueleza kuwa hataki meseji za aina hiyo na hataki uhusiano.”
Kamanda Muliro ameongeza, “Mtiririko wa visa hivyo unatoa nafasi kuwa alipata mfadhaiko akajinyonga, lakini hata hivyo bado uchunguzi unaendelea kwa kuwa huo ni ushahidi wa awali.”
Sauti ya Kamishna wa Polisi (ACP) Muliro Jumanne
Nipe location nije unitongozee hapohapo kwako chaaapDemba nami nikutongoze afu uje kwangu kunikataza?
Msukuma wa kahamaKama Mke wa Masanja ni Msukuma basi huyo ni mke wa wengi.
Kila mtu ana namna yake ya kutatua changamoto. Sasa mama mtumishi yeye kaona hiyo ya kutafuta mama anayeheshimika hapo kanisani amsaidie kufikisha ujumbe inafaa. hatuwezi kumlaumu mama mtumishi kwa hilo.Mwanamke/mke ukimsumbua sana kumtongoza na kama Ana mme!
Huwa anakutengenezea mtego akishirikiana na mme wake+wazee
Sasa kwanini mke wa mchungaji asingechukua hatua hiyo
Ni kama alikuwa anapenda
Ova
Nakazia hapaNitakuwa wa Mwisho kuamini kuwa Mtu anaweza kujinyonga kwa ajili ya Mke wa Mtu. Aiseee hapana, hiyo haiwezekani.
Kujinyonga kwa Mke wako naweza nikakubali, ila kwa mke wa mtu. Hiyo kwangu ni Big no
Unajuaje kama hakuwahi kumwambia mkuuKama ni kweli mbona hakuwahi kumwambia Masanja kuwa katibu anamfatilia na kumuonesha SMS
Mwili unazikwa baada ya postmoterm, bila shaka imeshafanyika ndio sababu kuna majibuPostmortem ingejibu mengi ,Sasa unaazika Halafu ndo uchunguze
Uposti usi posti anaweza ibiwa vile vile sasa huyo katibu si kila siku alikua anamuonaMasanja ushamba ulizidi, watu tuna mademu wakali tumetulia tu, nani anamjua mke wa Mpoki au Jotti, watoto wa mjini marufuku kupost wake zao mitandaoni.
Hujauelewa mchezo nadhaniHapana, inamlinda mchungaji na mkewe, maana polisi wanasema mama mchungaji akisindikizwa na mtu mwingine walienda kwa marehemu kumwambia aache kumtumia sms za mapenzi kwa yeye(mama mchungaji) ni mke wa mtu tayari. So inaonekana jamaa ndio kwanza alikuwa anatongoza hajala tunda
Mbona mapema sanaKuna taarifa zinasambaa kwamba Masanja na mkewe watakamatw kwa ajili ya uchunguzi zaidi kuhusiana na kifo cha katibu wake wa kanisa
Inasemakana kwamba katibu uyo a kanisa la masanja wala hakujinyonga bali alinyongwa na kisha kuzusha kwamba amejinyonga
Nb tayari mwili wa Marehemu umeishazikwa, mwili huo umezikwa jana
Eh? Yaani Wasukuma ni Gazeti la Mtaa, Kila Mtu anaweza Kusoma??[emoji848][emoji848]Kama Mke wa Masanja ni Msukuma basi huyo ni mke wa wengi.
Polisi na walimwengu wanaongea lugha moja, hujaielewa tu ile ya polisiPolisi wanasema marehem ndio alikua anaomba mahusiano ya kimapenzi (anamtongoza) lakin walimwengu wame conclude walikua wapenzi duh hatar kwa kujiongeza
Hilo kabla mkuu waoane wenyewe kwa weenyewe tuEh? Yaani Wasukuma ni Gazeti la Mtaa, Kila Mtu anaweza Kusoma??[emoji848][emoji848]
Kwahyo video ww hujaiona???Polisi wanasema marehem ndio alikua anaomba mahusiano ya kimapenzi (anamtongoza) lakin walimwengu wame conclude walikua wapenzi duh hatar kwa kujiongeza
Mmetumwa ku-clear the air'hataki uhusiano naye na asimtumie sms za mapenzi','marehemu alikuwa akiomba mahusiano ya kimapenzi','walienda nyumbani kwa marehemu kumueleza kuwa hataki meseji za aina hiyo na hataki uhusiano'.Kwa maelezo haya inaonyesha jamaa alikuwa anataka uhusiano wa kimapenzi na mke wa Masanja,sasa kwa mtiririko huu inaoyesha hawakuwa wapenzi,na huyu jamaa baada ya kuona amekataliwa akajua habari itamfikia mwenye mali hivyo akaamua kujinyonga,CASE CLOSED...