Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Dunia ndivyo ilivyo
 
Watu waelewe hakuna mtu asiyezingua. Watu tuko na madhambi kibao.

Angefukuzwa kanisa au kutengwa na waumini wenzake na kanisa pia ila maisha yangesonga tu.

Hamnaga sababu ya kujiua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…