Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Alafu kwann waongozane Na shoga yake na si Masanja mwenyewe?Hadi hapa ni kweli masanja alikuwa anapigiwa. Mkeo anaendaje kwa mtu anayemtaka kumuambia hamtaki? Na kanisani wanakutana kwa nn wasielezane huko?
Doooh nimeelewa kwa tabu sanaAliliwa nikamkamata na kumsamehe. Umeelewa bwashee
Usamehe mtu amegongwa huko labda masanja anaogopa kugawana maliHata akimwacha halitapona. Ni afadhali kumsamehe...
Kweli kabisa, Na kwann mama mchungaji aongozane na shoga yake na si mumewe? Watu mnakutana kanisani kila mara iweje wamfuate nyumbn kwake tena wanawake tu?Kama ni kweli mbona hakuwahi kumwambia Masanja kuwa katibu anamfatilia na kumuonesha SMS
Mmh umeongea kirahisi rahisi sana'hataki uhusiano naye na asimtumie sms za mapenzi','marehemu alikuwa akiomba mahusiano ya kimapenzi','walienda nyumbani kwa marehemu kumueleza kuwa hataki meseji za aina hiyo na hataki uhusiano'.Kwa maelezo haya inaonyesha jamaa alikuwa anataka uhusiano wa kimapenzi na mke wa Masanja,sasa kwa mtiririko huu inaoyesha hawakuwa wapenzi,na huyu jamaa baada ya kuona amekataliwa akajua habari itamfikia mwenye mali hivyo akaamua kujinyonga,CASE CLOSED...
Sio kwamba Katibu alikuwa anamtaka mama mama mchungaji Bali alikuwa anakula kabisa.Tukiacha kuchukulia kawaida hii case,ukiwa kama mpelelezi unaweza amini jamaa kajinyonga?
Mimi kama mpelelezi wa kujitegemea naweza tilia mashaka kuhusu hili
inawezekana :
Marehemu kauliwa na (team masanja) kwasababu masanja alishajua marehemu alikua akimtaka mke wake.
Siamini hata kidogo kwamba masanja hajawahi pewa nyepesi nyepesi kuhusu katibu wake na mke wake (sidhani)
Naamini fika Hili tukio Masanja kama Hajalifanya yeye na kutengeneza mazingira ya marehemu kujinyonga basi (labda kweli marehemu kajinyonga).
Masanja anapost tu kuwa yuko "USA" hii yawezekana anaifanya makusudi ili kuendelea kuficha alichokifanya.
Mauaji si jambo jepesi,kweli wapo watu wanaoweza jinyonga kwa ajili ya mapenzi ila nimeanza tilia mashaka kifo cha huyu katibu "mwenye mke wake" halafu amejiua.
Naomba wote mtambue MASANJA ana pesa na sio PESA za kununua VOCHA ila ana pesa za kuweza fanya lolote akiwa popote,its just a one phone call "watu wanafanya kazi"
Tusi conclude kirahisi rahisi hili,ingekuaga hii nchi unaruhusiwa fanya upelelezi kisha ukikamilika unawapelekea jeshi la polisi,Hii case ina vingi vimejificha.
Marehemu kujinyonga 49%
Marehemu kunyongwa 51%
Ndiyo maisha! Usiombe yakukuteDoooh nimeelewa kwa tabu sana
Humble submissionBila Kupepesa macho.
ITOSHE KUSEMA MAMA MCHUNGAJI AMELIWA NA KATIBU.
Case Closed.
Labda walipigwa tena kachumbari huko kwa mwendazake ndio Mr Masanja akaona isiwe noma akajiongeza!?Kweli kabisa, Na kwann mama mchungaji aongozane na shoga yake na si mumewe? Watu mnakitana kanisani kila mara iweje wamfuate nyumbn kwake tena wanawake tu?
Kweli sijasema kwa ubaya lkn. Mimi mwenyewe nina mke.Ndiyo maisha! Usiombe yakukute
Wewe unagonga huko nje mara ngapi na unasamehewa? Masanja kakataa unafikiUsamehe mtu amegongwa huko labda masanja anaogopa kugawana mali
mkuu hicho kitobo kisikuapize kiasi hicho ni hatari sanaWathibitishe au Wasithibitishe ila Mimi GENTAMYCINE ukitembea (ukinikazia ) Mke wangu ( tena akiwa ni Mweupe na ana Msambwanda kuzidi wa Kajala ) na kujua nimeshakujua anza Mwenyewe kugawa Urithi kwa Wanao, Kuchagua Jeneza lako na kuchagua ni wapi ungependelea kwenda Kuhifadhiwa moja kwa moja Udongoni na ndipo utajua ni kwanini Nyoka hana Ugoko na Wimbo wa Taifa ( National Anthem ) hauna Kolabo Kudadadeki....!!!!!!!
Hili jambo angalia mwenendo wa waathirika , utagundua kitu.. Masanja na mwenzi wake, hawaonyeshi kama wameumizwa na hili... Kwa twitter post zao.. Kama ni polisi ile ya mkoloni , hawa ndio wa kuanza nao.. Kuna uhai wa mtu umepotea.. Lakini jamii nyingi huwa zinamlinda mwenye nguvu na kinyonge kinaacha kijitetee chenyewe
Mmmh na wewe unaamini hizo storee[emoji849][emoji849]Ala!! Sikuinyaka hii, kumbe mke ndio alitia ngumu kuvua chupi, basi mwanamke apongezwe na masanja tumsifu ana mke muaminifu.
Mno mnomkuu hicho kitobo kisikuapize kiasi hicho ni hatari sana
Hivi kweli kuombwa mapenzi ndo hadi mtu aende kwake kumwambia aache?Polisi wanasema marehem ndio alikua anaomba mahusiano ya kimapenzi (anamtongoza) lakin walimwengu wame conclude walikua wapenzi duh hatar kwa kujiongeza
[emoji16][emoji16][emoji119]Bila Kupepesa macho.
ITOSHE KUSEMA MAMA MCHUNGAJI AMELIWA NA KATIBU.
Case Closed.
Wanajua ukweli kuliko sie washabiki tunaoteseka na ukweli halisi hatuujui.
Whatever the case...nipo upande wao.
Tuache unafiki kwa kweli. Tuwaache na maamuzi yao.Halafu tunateseka kwa kumuonea huruma aliyejinyonga, hatuulaani uhuni wake
Huyu mwanamke ametia aibu sana, sasa pale madhabahuni huwa anaenda kufanya nini wakati anazini na katibu wa mumeweKupitia Clouds FM Polisi jijini DSM wamethibitisha Kuwa katibu wa kanisa la Masanja amefariki kwa kujinyonga kwa uchunguzi wa awali.
Kamanda anasema ni kweli siku Moja kabla ya kifo Cha katibu, mke wa Masanja alienda nyumbani kwa Katibu akiwa na mama mtu mzima kumwambia hataki uhusiano naye na asimtumie sms za mapenzi . Kamanda akaendelea kusema ni kweli kulikuwa na mawasiliano kati ya marehemu Katibu na mke wa Masanja.
Polisi wanasema kwa uchunguzi wa awali unaonyesha Katibu alijinyonga kwa sababu ya mapenzi lakini Bado wanaendelea na uchunguzi.
Pia soma: IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi
========================
Polisi wamesema uchunguzi wa awali yanaonesha Joas Steven alipata mfadhiko na kujiua kwa kujinyonga
Kamanda wa Polisi wa Kanda ya Maalum Dar es Salaam, Muliro Jumanne amesema pia mawasiliano kati ya marehemu na anayedaiwa kuwa ni mke wa Masanja (Emmanuel Mgaya) yalifanyika kwa simu
Amesema “Mawasiliano yanaonesha marehemu alikuwa akiomba mahusiano ya kimapenzi, pia siku moja kabla ya tukio mke wa Masanja akiwa na mwanamke mwingine walienda nyumbani kwa marehemu kumueleza kuwa hataki meseji za aina hiyo na hataki uhusiano.”
Kamanda Muliro ameongeza “Mtiririko wa visa hivyo unatoa nafasi kuwa alipata mfadhaiko akajinyonga, lakini hata hivyo bado uchunguzi unaendelea kwa kuwa huo ni ushahidi wa awali.”
Sauti ya Kamishna wa Polisi (ACP) Muliro Jumanne