King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mkuu unaumiza kichwa tu bure ,kama umesoma CUBA maelezo ya Jumanne Muliro yapo wazi kabisa kwamba Katibu alikuwa anakula MZIGO.kwann umfate mtu anaekutongoza kwake? kwann kama hicho kitendo hakikumpendeza hakumweleza mumewe ambae ni boss wa huyo katibu mbona ni kama alikuwa anataka kuchomoa na mzigo upo ndani tayari ndomana alitumia njia ya kwenda kwake na mala....y mwenzake kwann alifanya siri kwa mume wake kama sio alikuwa anagogwa akataka kukatisha utamu na kijana alikuwa amenogewa..